Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Dkt. Charles Kitima,
akizungumza Julai 8, 2025 na Jambo TV, Padri Kitima ameeleza kuhusu Viongozi kupenda kusifiwa na si kukosolewa ikiwa wajibu wao ni kutimiza mahitaji ya wananchi
Pia amesema kazi ya kanisa ni kuonya kuelekeza wema upi umeachwa ili utendwe na si kusifia kufunika maovu
"Ninasifia yanayostahili lakini maovu pia lazima tuyaonye, ndiyo kazi ya kanisa kuonya, kuelekeza wema upi umeachwa utendwe madhara yake ni makubwa lakini kusifia mtu ili kufunika maovu siko tayari, siwezi kusifia kufunika maovu yanayofanywa" alisema Padri Dkt. Charles Kitima
Soma pia:
Chanzo: JAMBO TV
akizungumza Julai 8, 2025 na Jambo TV, Padri Kitima ameeleza kuhusu Viongozi kupenda kusifiwa na si kukosolewa ikiwa wajibu wao ni kutimiza mahitaji ya wananchi
Pia amesema kazi ya kanisa ni kuonya kuelekeza wema upi umeachwa ili utendwe na si kusifia kufunika maovu
"Ninasifia yanayostahili lakini maovu pia lazima tuyaonye, ndiyo kazi ya kanisa kuonya, kuelekeza wema upi umeachwa utendwe madhara yake ni makubwa lakini kusifia mtu ili kufunika maovu siko tayari, siwezi kusifia kufunika maovu yanayofanywa" alisema Padri Dkt. Charles Kitima
Soma pia:
- Padri Kitima: Nani mwenye nguvu Nchini hii anayeshinda Vyombo vya Dola hadi kuteka na kuuwa Watu?
- TEC: Shambulio dhidi ya padre Kitima lilitaka kupora haki ya uhai, uhuru wa kusema na kutenda kadiri ya wito wake