PostGE2025 Padre Kitima: Nilishauriwa na watu nisiende kumzika Jenista

PostGE2025 Padre Kitima: Nilishauriwa na watu nisiende kumzika Jenista

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Katibu Mkuu wa Barala La Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Padre Dkt. Charles Kitima akizungumza jana Disemba 19, 2025 wakati wa akimtambulisha Naibu Katibu Mkuu mpya wa Baraza hilo huku akimshukuru aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Baraza hilo Padre Dkt. Chesco Msaga C.PP.S kwa kuwa msaada kwake hata pale ambapo yeye (Kitima) alishindwa kwenda baadhi ya maeneo kwa sababu ya hofu aliyonayo ya kudhurika.
 
Katibu Mkuu wa Barala La Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Padre Dkt. Charles Kitima akizungumza jana Disemba 19, 2025 wakati wa akimtambulisha Naibu Katibu Mkuu mpya wa Baraza hilo huku akimshukuru aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Baraza hilo Padre Dkt. Chesco Msaga C.PP.S kwa kuwa msaada kwake hata pale ambapo yeye (Kitima) alishindwa kwenda baadhi ya maeneo kwa sababu ya hofu aliyonayo ya kudhurika.
Huyu jamaa avue tu joho aingie siasa!! Kiongozi wa dini wa hovyo sana!
 
Katibu Mkuu wa Barala La Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Padre Dkt. Charles Kitima akizungumza jana Disemba 19, 2025 wakati wa akimtambulisha Naibu Katibu Mkuu mpya wa Baraza hilo huku akimshukuru aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Baraza hilo Padre Dkt. Chesco Msaga C.PP.S kwa kuwa msaada kwake hata pale ambapo yeye (Kitima) alishindwa kwenda baadhi ya maeneo kwa sababu ya hofu aliyonayo ya kudhurika.
Huyu Kitima ni kirusi ndani ya Kanisa Katoliki Tanzania. Ameigeuza TEC kuwa taasisi ya harakati za kisiasa badala ya chombo cha imani.

Huyu si mnasema ana PhD na amenyooka, sasa kwanini miaka yote Vatican wasimpe UASKOFU?? Wanapata uaskofu mapadre wana degree moja au 2.
 
Huyu Kitima ni kirusi ndani ya Kanisa Katoliki Tanzania. Ameigeuza TEC kuwa taasisi ya harakati za kisiasa badala ya chombo cha imani.

Huyu si mnasema ana PhD na amenyooka, sasa kwanini miaka yote Vatican wasimpe UASKOFU?? Wanapata uaskofu mapadre wana degree moja au 2.
Usiwafundishe Vatican wana utaratibu wao.
 
Huyu ndio kiongozi wa dini aliyekemea utekaji na utu wa Mtanganyika bila aibu wala kupepesa macho kwa ukweli kutoka moyoni... Watawala polepole yuko wapi???..mpaka mseme kama mlimchinja na kuywa damu yake..
 
Huyu Mzee Ni Muongo na Mzushi sana. Kifua na moyo wake umejazwa na uchonganishi,Udini na chuki binafsi tu kwa serikali hii ya Rais Samia.kila siku anajitahidi kupandikiza chuki tu kwa watu ili waichukie serikali ya Rais Samia.
Sheikh Sharifu Majini alikuwa kama wewe kabla hajapigwa risasi ya takoni. Chawa mnaishi tu ila kuna siku nguo zitalowekwa kwenye maji ya moto.
 
Huyu jamaa avue tu joho aingie siasa!! Kiongozi wa dini wa hovyo sana!
Wewe ndo ungefanya mpango wa kuwashauri hao viongozi wako ving'ang'anizi waachie madaraka make HAWAPO KIHALALI HAPO OFSINI.
 
Usiwafundishe Vatican wana utaratibu wao.
Sifa za padre kuchaguliwa kuwa askofu katika Kanisa Katoliki ni muhimu sana na zinajumuisha mambo yafuatayo:

1. Padre anapaswa kuwa na uelewa mzuri wa imani ya Kanisa, mafundisho ya Kikristo, na kuwa na shahada ya teolojia.

2. Padre anapaswa kuwa na uzoefu wa kutosha katika huduma za Kanisa, ikiwa ni pamoja na kushiriki katika shughuli za kichungaji na kiroho.

3. Anapaswa kuwa na maadili mema, uaminifu, na kuwa mfano mzuri wa maisha ya Kikristo.

4. Lazima awe na uwezo wa kuongoza na kuhamasisha waumini, pamoja na kuwa na mbinu nzuri za kusimamia masuala ya kanisa.

5. Kuwa na sifa ya kujitolea na matumizi ya vipaji vyake kwa ajili ya kanisa na jamii.

6. Padre anahitaji kuwa na uhusiano mzuri na mamlaka ya Kanisa na kufuata sheria za Kanisa katika mchakato wa uchaguzi.

7. Wanaweza kujenga mahusiano mazuri na waumini, wahudumu, na viongozi wengine wa kanisa.

Kwa Fr Kitima naona namba 3, 4 na 6, zitakuwa zinamkwamisha
 
Huyu ndio kiongozi wa dini aliyekemea utekaji na utu wa Mtanganyika bila aibu wala kupepesa macho kwa ukweli kutoka moyoni... Watawala polepole yuko wapi???..mpaka mseme kama mlimchinja na kuywa damu yake..
Huyu Kitima ni mhamasishaji wa maandamno tu na vurugu za uchaguzi
 
Huyu Mzee Ni Muongo na Mzushi sana. Kifua na moyo wake umejazwa na uchonganishi,Udini na chuki binafsi tu kwa serikali hii ya Rais Samia.kila siku anajitahidi kupandikiza chuki tu kwa watu ili waichukie serikali ya Rais Samia.
We unadhani watu wote ni walamba matrako ya watawala kama wewe, na nani kakudanganya sirikali ya samuya inapendwa na walio wengi?!
29 oct watz walio wengi walimkataa samuya WAZIWAZI!
 
Back
Top Bottom