Huyu jamaa huwa ananikumbusha sana Padri mmoja akiitwa Padri Lwambano wakati wa Mwembechai KillingsPadre Charles Kitima anasema aliyetumwa, aliyetoa mamlaka kupiga risasi akijua kabisa ni kinyume cha sheria atawajibishwa tu ni suala la wakati. Anasema masuala ya kesi za kibinadamu hayafutiki!!
Soma Pia: PostGE2025 Padre Kitima: Nilishauriwa na watu nisiende kumzika Jenista
kama taifa hautuwezi kupoteza muda kukumbuka uzushi nonsense, uongo useless na poroja za walevi na mafuska wa madhabahuni kama huyu kitima.Padre Charles Kitima anasema aliyetumwa, aliyetoa mamlaka kupiga risasi akijua kabisa ni kinyume cha sheria atawajibishwa tu ni suala la wakati. Anasema masuala ya kesi za kibinadamu hayafutiki!!
Soma Pia: PostGE2025 Padre Kitima: Nilishauriwa na watu nisiende kumzika Jenista
Wajinga hao ,wangechekewa wangeathiri mambo mengi..Mtu ana tumbo kama mfumo wa Rambo anachochea halafu limekaa huko kanisani.kama taifa hautuwezi kupoteza muda kukumbuka uzushi nonsense, uongo useless na poroja za walevi na mafuska wa madhabahuni kama huyu kitima.
Tunafanya kazi kwa bidii na tunasonga mbele kwa amani na umoja kama Taifa.
PUNGUZENI ROHO MBAYA, mnatuibia,mnatufisadi, mnatufunga, mnatuteka na mnatuua pia.Dola lazima iheshimiwe huwa haichezewi hata siku moja. Chezea ndevu za babu yako nyumbani kwenu usichezee dola.
Aliyewatuma vijana akiwaambia kwamba wafanye machafuko yenye nia ya kupindua nchi aliwaingiza chaka baya sana.
Wasingejifanya vichwa ngumu wasingeuwawa kwa kiasi kile, tarehe 9 na 25 desemba hakufa hata sisimizi, hakuna aliyetaka kutunishia misuli na serikali.
Wajinga hawa eti katoliki wana nguvu ,wamebaki kuimba taarabu...Wajinga sana hawa ; hawatorudia tena.Dola lazima iheshimiwe huwa haichezewi hata siku moja. Chezea ndevu za babu yako nyumbani kwenu usichezee dola.
Aliyewatuma vijana akiwaambia kwamba wafanye machafuko yenye nia ya kupindua nchi aliwaingiza chaka baya sana.
Wasingejifanya vichwa ngumu wasingeuwawa kwa kiasi kile, tarehe 9 na 25 desemba hakufa hata sisimizi, hakuna aliyetaka kutunishia misuli na serikali.
Chuki nyingi zinaletwa na habari za uchochezi ambazo asilimia 95 ni za kubuniwa na watu wanaoongozwa na ubaguzi ndani ya nafsi zao.PUNGUZENI ROHO MBAYA, mnatuibia,mnatufisadi, mnatufunga, mnatuteka na mnatuua pia.
MWENYE NGUVU MPISHE, UZURI HATA WEWE FUTI 6 ZITAKUHUSU SO HAKUNA JIPYA HAPO.
MJITAHIDI TU KUFANYA YALIYO MEMA DOLA,PESA NI MYTH FOR SURVIVAL..
Hayati JPM aliwaambia wao na familia zao wakae mbele kabisa kwenye hayo maandamano.Wajinga hawa eti katoliki wana nguvu ,wamebaki kuimba taarabu...Wajinga sana hawa ; hawatorudia tena.
Watu wanavyopata tabu kwa zile vurugu mpaka maisha yalishaanza kuwa magumu ..Wajinga sana hawa viongozi wa upande wa kushoto kwa kujiona wanajua kila kitu.
Mtu anafanya uchochezi ,yeye ana tumbo kubwa hata kukimbia hawezi si akae mstari wa mbele tuone.