Padre Baptist Mapunda "Tunda la Kanisa" Uko wapi tunakuhitaji sana awamu hii

Mwanga Lutila

JF-Expert Member
Nov 10, 2016
3,959
12,930
"CCM kuendelea kuiweka Madarakani ni kujilisha sumu mwilini mwisho itakuua mwenyewe"-Padre Baptist Mapunda

Wengi tunakufahamu ulivyokua unatoa mahubiri yenye kutufunza kudai haki zetu na kuikataa CCM awamu ile ya JK.

Sasa yale mahubiri yako ya awamu ile ndio yanahitajika sana awamu hii, maana hakuna tena kiongozi wa dini anayetoa mawaidha ya kuiweka sawa Serikali ili itende haki, wote wame-surrender tumebakia wakiwa.

Where are you? Sitaki kuamini kuwa na wewe ume surrender eti kwa sababu huyu wa sasa ni wa "Taasisi" yetu. Na sitaki kuamini kuwa mahubiri yale uliyokuwa unayatoa awamu ile ni kwa vile aliyekuwapo hakuwa wa "Taasisi" yetu.


Sema neno moja na roho yetu ipone.
 
Aseme nini wakati kila kitu kiko sasa yaani kwenye mstari. Aliyokuwa akiyapigia kelele sasa yanashughuliliwa tena kwa speed Kali . wezi wote wanashughulikuwa kikamilifu na uchumi kwa maana ya uchumi unapaa japo wewe huna hela za wizi tena. Sasa hivi kila mwenye kuchapa kazi sawasawa anaifurahia hii serikali. Kwa wavivu waliokuwa wanatka kujipatia utajiri kwa shortcut wanalia na lusaga meno kama wewe.
Yani unataka mapunda ajipinge mwenyewe kama wewe uliyetelekeza hoja ya ufisadi baada ya lowasa kununua chama.
Mapadre wana akili siyo akina gwajima ambao hawajui wanachokidai . mapunda kama mapadre wengine amesoma miaka kumi na sita na philosophy 4 years anajua aongee nini na kwa wakati gani.

Nenda kwa yule gwajima ambaye alijipa uaskofu akusaidie kupiga kelele magu aruhusu wizi ili uendelee kuishi mana bila wizi maisha yamekuwa magu kweli. U humu una kuwa sana na ninaposema uchumi simaanishi fedha. Fedha zinaweza kuwa nyingi mifukoni lakini uchumi ukawa haujakua. Kama huna elimu hiyo sema pardon nikufafanulie zaidi
 
"CCM kuendelea kuiweka Madarakani ni kujilisha sumu mwilini mwisho itakuua mwenyewe"-Padre Baptist Mapunda

Wengi tunakufahamu ulivyokua unatoa mahubiri yenye kutufunza kudai haki zetu na kuikataa CCM awamu ile ya JK.

Sasa yale mahubiri yako ya awamu ile ndio yanahitajika sana awamu hii, maana hakuna tena kiongozi wa dini anayetoa mawaidha ya kuiweka sawa Serikali ili itende haki, wote wame-surrender tumebakia wakiwa.

Where are you? Sitaki kuamini kuwa na wewe ume surrender eti kwa sababu huyu wa sasa ni wa "Taasisi" yetu. Na sitaki kuamini kuwa mahubiri yale uliyokuwa unayatoa awamu ile ni kwa vile aliyekuwapo hakuwa wa "Taasisi" yetu.


Sema neno moja na roho yetu ipone.
Bado Yuko Manzese? Juzi tu nilimkumbuka.
 
Ft.Baptist Mapunda kwa sasa anafanya utume wake nchini Kenya ndo maana hatumsikii sana.miezi mitano nyuma alikwepo hapa nchini kwa likizo fupi naamini Mungu akimjaalia uzima mwezi wa tano/sita atakuwa tena hapa.
 
Aseme nini wakati kila kitu kiko sasa yaani kwenye mstari. Aliyokuwa akiyapigia kelele sasa yanashughuliliwa tena kwa speed Kali . wezi wote wanashughulikuwa kikamilifu na uchumi kwa maana ya uchumi unapaa japo wewe huna hela za wizi tena. Sasa hivi kila mwenye kuchapa kazi sawasawa anaifurahia hii serikali. Kwa wavivu waliokuwa wanatka kujipatia utajiri kwa shortcut wanalia na lusaga meno kama wewe.
Yani unataka mapunda ajipinge mwenyewe kama wewe uliyetelekeza hoja ya ufisadi baada ya lowasa kununua chama.
Mapadre wana akili siyo akina gwajima ambao hawajui wanachokidai . mapunda kama mapadre wengine amesoma miaka kumi na sita na philosophy 4 years anajua aongee nini na kwa wakati gani.

Nenda kwa yule gwajima ambaye alijipa uaskofu akusaidie kupiga kelele magu aruhusu wizi ili uendelee kuishi mana bila wizi maisha yamekuwa magu kweli. U humu una kuwa sana na ninaposema uchumi simaanishi fedha. Fedha zinaweza kuwa nyingi mifukoni lakini uchumi ukawa haujakua. Kama huna elimu hiyo sema pardon nikufafanulie zaidi
Mwizi yupi alieshughulikiwa, tukumbushane.!
 
"CCM kuendelea kuiweka Madarakani ni kujilisha sumu mwilini mwisho itakuua mwenyewe"-Padre Baptist Mapunda

Wengi tunakufahamu ulivyokua unatoa mahubiri yenye kutufunza kudai haki zetu na kuikataa CCM awamu ile ya JK.

Sasa yale mahubiri yako ya awamu ile ndio yanahitajika sana awamu hii, maana hakuna tena kiongozi wa dini anayetoa mawaidha ya kuiweka sawa Serikali ili itende haki, wote wame-surrender tumebakia wakiwa.

Where are you? Sitaki kuamini kuwa na wewe ume surrender eti kwa sababu huyu wa sasa ni wa "Taasisi" yetu. Na sitaki kuamini kuwa mahubiri yale uliyokuwa unayatoa awamu ile ni kwa vile aliyekuwapo hakuwa wa "Taasisi" yetu.
Sema neno moja na roho yetu ipone.

Najua kwamba Padre Batista Mapunda alisumbua sana enzi za Mkapa. Sina hakika unamaanisha nini unaposema "taasisi Yetu".
 
Unamjua Mwadhama au unamsikia? Kama ilivyo jeshi kwa amiri jeshi au makamanda wao, ndivyo ilivyo mapadri kwa maaskofu wao unless umeamua kujilipua kuachana na huduma. Else, lazima uwe mpole. Kauli ya askofu (RC) ni kauli ya mwisho ndani ya jimbo lake. Mkikutana na ambaye yuko affiliated na upande fulani kazi mnayo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom