Padre anamtongoza wife

Hii habari ni ya kusimuliwa,
Pia ukimsoma vizuri utaona anachanganya mambo,
Hajui kutofautisha kati ya padri na mchungaji wa makanisa ya kileo,

Jinsi ulivyoeeza kuamini hii chai,
Ndivyo hivyo hivyo ulivyoweza kuamini kuwa mungu hayupo,
Tatizo unapenda kusikia kile kinachokufurahisha, tatizo linaanzia hapo, unakuwa excited emotionally,
Na kuacha kufikiri kisawa sawa.

Ulitakiwa ufikirie one step backward kwa aliyeleta maada anadhumuni gani
 
Hii stori ni uongo mtupu,kwa sababu ikizu iko Bunda na si tarime mura.
 
jifunze kuandika bwana!!!!
 
Anamtongoza? Mbona nahisi kama ameshaliwa tayari
 
Fukuza nasema tena "fukuza" naona mkeo ananyota ya kuwa sister ila unambania
 

Ujinga wanaume we Kama umemwona unataka akubali ili...mwache tu atajua mwenyewe
 
Mkuu namjua hata jina ni katoliki mkuu
 
Tukisema kuhusu hao kina gwajima, msigwa, lusekelo etc mnatuona mafala, acheni wake zenu waliwe tu, mazuzu kabisa..
 
Na demu akishaliwa na padre ndo basi tena,kama hajaolewa basi hataolewa na kama kaolewa basi huyo atakua ni chama la wana
 
Mkuu jiongeze tu ww ni wakiume...piga chini chukua ingine ubonyeze raha za dunia kufa kwaja..kama una kabeki tatu hapo home kapandishe cheo japo kanyota kamoja kwanza.tega ugo niweke chuma,tega kigingi niweke jiwe...kamulia na limao humo humo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…