EMMA1
Member
- Jan 4, 2015
- 39
- 11
Kamati ya bunge hesabu za serikali imeagiza CAG kufanya ukaguzi maalum wa mchakato wa ubinafsishaji wa shirika la Reli.
Kamati ya kudumu ya Bunge hesabu za serikali PAC imefanya ukaguzi wa madaraja ya reli ya kati na kuagiza mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali kufanya ukaguzi maaluma wa mchakato wa ubinafsishaji washirika la reli kufuatia malalamik o ya baadhi ya mali zilizokuwa za serikali zikiwemo nyumba zimeuzwa kinyemela bila kufuata utaratibu. Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge hesabu za serikali Zitto Kabwe ameyasema hayo wakati wakifanya ukaguzi wa ujenzi wadaraja la reli kwa kutumia kiberenge kati ya kilosa na mzangaza wilayani Kilosa mkoani Morogoror ambapo amesema kamati imebanini baadhi ya mali nyingi zimepotea bila utaratibu wakati waubinafsishaji.
Aidha Zito amesema kamati imeshangazwa na mpango wa TRL kuzuia wanaosafirisha mizigo kupitia reli kutokuruhusiwa kubeba mizigo ya watu wengine jambo ambalo amesema sio sahihi na mabehewa kurudi tupu yanapotoka mikoani wameshauriana na kuona ili shirika la reli liweze kukua haraka wanahitaji kufanya uwekezaji wakutosha katika reli.
Kwa kampuni hodhi shirika la usimamizi wa reli rahco wamesema wanahitaji trilion 1.5 kwa miaka mitatu kila mwaka wanahitaji bilion 500 ili kuimarisha miundombinu ya reli na kuomba serikali kutenga bujeti ya kutosha kwani kwa sasa wanapata kiasi shilingi bilioni kumi tu kwa mwaka na safari za treli zinafanyika mara mbili kwa wiki.
Kamati ya kudumu ya Bunge hesabu za serikali PAC imefanya ukaguzi wa madaraja ya reli ya kati na kuagiza mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali kufanya ukaguzi maaluma wa mchakato wa ubinafsishaji washirika la reli kufuatia malalamik o ya baadhi ya mali zilizokuwa za serikali zikiwemo nyumba zimeuzwa kinyemela bila kufuata utaratibu. Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge hesabu za serikali Zitto Kabwe ameyasema hayo wakati wakifanya ukaguzi wa ujenzi wadaraja la reli kwa kutumia kiberenge kati ya kilosa na mzangaza wilayani Kilosa mkoani Morogoror ambapo amesema kamati imebanini baadhi ya mali nyingi zimepotea bila utaratibu wakati waubinafsishaji.
Aidha Zito amesema kamati imeshangazwa na mpango wa TRL kuzuia wanaosafirisha mizigo kupitia reli kutokuruhusiwa kubeba mizigo ya watu wengine jambo ambalo amesema sio sahihi na mabehewa kurudi tupu yanapotoka mikoani wameshauriana na kuona ili shirika la reli liweze kukua haraka wanahitaji kufanya uwekezaji wakutosha katika reli.
Kwa kampuni hodhi shirika la usimamizi wa reli rahco wamesema wanahitaji trilion 1.5 kwa miaka mitatu kila mwaka wanahitaji bilion 500 ili kuimarisha miundombinu ya reli na kuomba serikali kutenga bujeti ya kutosha kwani kwa sasa wanapata kiasi shilingi bilioni kumi tu kwa mwaka na safari za treli zinafanyika mara mbili kwa wiki.