MATATIZO SABA
Member
- Sep 28, 2011
- 8
- 4
Wakati kamati ya hesabu za serikali PAC ikiwahoji mwenyekiti wa bodi na mkurugenzi wa tantrade ilitoa masaa 48 watumishi hao kuleta kadi za magari 9 na pikipiki 12 zilizopotea. Nashangaa hadi leo kamati iko kimya na hatujajua magari hayo yako wapi naombeni msaada na mbona hili limekaliwa kimya.
Naomba kuwasilisha.
Naomba kuwasilisha.