Paa hili litagharimu bati ngapi?

Paa hili litagharimu bati ngapi?

Loolyboy

New Member
Joined
Aug 19, 2016
Posts
4
Reaction score
0
Naomba wakuu mnishauri kuhusu hilo paa langu je lina ingiza bati za msouth ngapi?

image.jpeg
 
Mkuu kwa haraka haraka andaa bati 72 za 3mtrs ila uwe mvumilivu kwa zitakatwakatwa sana hapo zitakazo ingia bila kukatwa ni bati 9. tuu!!!
 
Bwashe huu mzigo ni wa bati 150 za futi 10. Kama ni ramani tu, nashauri ubadilishe ila Kama umeshajenga, vumilia.
 
tutajuaje idadi ya bati wakati ramani yako haionyeshi vipimo vya upana, urefu, elevation nk?
 
Mkuu kwa haraka haraka andaa bati 72 za 3mtrs ila uwe mvumilivu kwa zitakatwakatwa sana hapo zitakazo ingia bila kukatwa ni bati 9. tuu!!!
Mkuu mpaka kijasho kinanitoka kwa hio bei kama ngapi itanigjarimu
 
Bwashe huu mzigo ni wa bati 150 za futi 10. Kama ni ramani tu, nashauri ubadilishe ila Kama umeshajenga, vumilia.
Bwa sheh sasa hapo kidogo sijakuelewa kuhusu bati kwa hio ziwe futi 10 na piec 150?!bwa shelh ndo nimesha ingia choo cha kike nisha jenga
 
Wakuu jaman nataka mnisaidie je bati 75 au 150 na naomben maelezo kwa uzuri au ni nani haswa mnae mjua ana shuulika na maswala ya kuweka bati
 
njoo inbox mkuu nauza vifaa vya ujenzi kuanzia mbao hadi bati....ila huwezi jua idadi ya mbao hadi uwe na vipimo au fundi afike site akadirie
 
Back
Top Bottom