P. Kagame VS Mamady Doumbouya! Who is might

Congo hakuna serikali.. ndio maana unachezewa na madini yao yanachotwa

Amchezee mama na ushungi wake aone balaa lake

Nimecheka ,,, nchi uliyoshindwa kusupply umeme mfululizo mwezi mzima bila kukatika itaweza kusupply jeshi kupigana miaka 20 kama DRC!!…
Au hujui kwene vita kuna “supply chain”
supply ya weapons
supply ya chakula
supply ya medicin na vingine muhimu

kama supply chain si ya uhakika bas hata jeshi lililoko front litachemka!… Ndo kiliikuta urusi mwanzon mwa vita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…