meneja wa bendi ya diamond musica international, perfect kagisa aka 'p diddy wa maimartha' amefariki dunia mara baada ya kuanguka gafla maeneo ya mnazi mmoja leo hii.
Hivi sasa mwili wa marehemu uko hospitali ya muhimbili kwa taaratibu zaidi za kimazishi kwa mujibu wa mtangazaji wa tbc1 tv benny kinyaiya.
R.i.p bro...