[/COLOR]
unapokuja na hitaji lako hapa ni kama hospitali, unapohitaji msaada kuna wakati itabidi utoe historia ya tatizo lako kwa mtaalamu ili ajue atakusaidia vipi, sidhani kama utaweza kujibu kila swali analotakiwa kujibu huyo muhusika wa tatizo, au tatizo ni lako unaogopa kusema?