Nakuhakikishia yanatoka deep inside my heart.
Chrispin mpenzi,nafikiri huu wasiwasi wa Fidel ni kwa sababu hatukutangaza matokeo ya zile kura zetu.Si unakumbuka Fidel80 naye ulimchagua kuwa shahidi?
Carmel,hii off topic ya mwisho.ntarudi kwenye mada nilikuwa naweka mambo sawa kwa shemeji Fidel.