wimbi la mbele
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 647
- 266
Hivi mmeona majeruhi wa maboomu walivyolala chini Muhimbili na Amana?
Je mmeona madaktari wanawatibu huku hawajavaa gloves?
Je mmeona wakimbizi au tuwaite IDP (internally displaced People ) uwanja wa Taifa?
Mmmeona coordination ya misaada ilivyo kanganyika?
Mmeona coordination ya habari ilivyo ovyo?
This says alot about our political system ilivyooza
Websites za redcross,ikulu(blog),waziri mkuu, PDDF, Mkoa wa Dar, Meya , Polisi hazitupatii any accurate news I wonder kama dissaster ingekuwa kubwa zaidi ya hii hali ingekuwaje?
Kinachoniuma ni kila mwezi our NATIONAL PRIDE inashuka kwa sababu no one wants to take responsibility and no one cares about the working class
Sasa kuna watu wako nje ya nchi wanataka kusaidia lakini hakuna coordination ya kufanya malipo online kwa sababu hatuna DISASTER EMERGENCY COMMITTEE ambayo ni effective...ambayo ilitakiwa iwe na face book page na mengineyo ili kufanya wepesi watu waliopo nje kusaidia kwa wepesi.
Chama cha waandishi wa habari walitakiwa waorganise something faster online lakini wapii wako bize na mipira!
Lakini more importantly this is not THE END...,ore will come na CITY PLANNERS ndio wakulaumiwa kwa sababu DAR now is like a TIME BOMB na najua by 100% watakao dhurika zaidi ni watu wenye hali ya chini
Je mmeona madaktari wanawatibu huku hawajavaa gloves?
Je mmeona wakimbizi au tuwaite IDP (internally displaced People ) uwanja wa Taifa?
Mmmeona coordination ya misaada ilivyo kanganyika?
Mmeona coordination ya habari ilivyo ovyo?
This says alot about our political system ilivyooza
Websites za redcross,ikulu(blog),waziri mkuu, PDDF, Mkoa wa Dar, Meya , Polisi hazitupatii any accurate news I wonder kama dissaster ingekuwa kubwa zaidi ya hii hali ingekuwaje?
Kinachoniuma ni kila mwezi our NATIONAL PRIDE inashuka kwa sababu no one wants to take responsibility and no one cares about the working class
Sasa kuna watu wako nje ya nchi wanataka kusaidia lakini hakuna coordination ya kufanya malipo online kwa sababu hatuna DISASTER EMERGENCY COMMITTEE ambayo ni effective...ambayo ilitakiwa iwe na face book page na mengineyo ili kufanya wepesi watu waliopo nje kusaidia kwa wepesi.
Chama cha waandishi wa habari walitakiwa waorganise something faster online lakini wapii wako bize na mipira!
Lakini more importantly this is not THE END...,ore will come na CITY PLANNERS ndio wakulaumiwa kwa sababu DAR now is like a TIME BOMB na najua by 100% watakao dhurika zaidi ni watu wenye hali ya chini