GE2025 Othman Masoud: Mnayoyaona wanayoyafanya CCM leo wameyaiga kutoka Zanzibar, kuiba kura, kuteka watu, kuuwa watu. Sasa ifike mwisho

GE2025 Othman Masoud: Mnayoyaona wanayoyafanya CCM leo wameyaiga kutoka Zanzibar, kuiba kura, kuteka watu, kuuwa watu. Sasa ifike mwisho

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,234
Mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT Wazalendo, Othman Masoud: Mnayoyaona wanayoyafanya CCM leo wameyaiga kutoka Zanzibar, kuiba kura, kuteka watu, kuuwa watu haya wameyafanya zanzibar miaka yote lakini tuliamua kupambana nayo na tukawashinda tangu 1995. Lakini sasa tuseme iwe mwisho

 
it makes sense, Christians hawana hayo mambo, ni mambo ambayo tunayaona kwenye islamic republics sana sana, sasa mmeleewa tunaposema siku zote kwamba tatizo ni mulsim wa tanzagiza ndiyo wanatulostisha sana kwa kukumbatia na kuabudu waarabu, irani, wahindi/pakis kwani huyo ni muslim ktk zanzibar kaongea hayo, wewe ni nani hata umpinge?

siku mtakuja kuelewa kwamba mwarabu, au pakis kama bith au sijui deji hawawezi kukuthamini hata siku moja na wanawatumia tu watu weusi kama daraja kujitajirisha ndiyo tutaweza kutoka hapa kama nchi na kuendelea as black people, tuanzishe na kujenga black business kama alivyofanya R.Mengi au Ali Mfuruki tujisaidie wenyewe ...
 
Mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT Wazalendo, Othman Masoud: Mnayoyaona wanayoyafanya CCM leo wameyaiga kutoka Zanzibar, kuiba kura, kuteka watu, kuuwa watu haya wameyafanya zanzibar miaka yote lakini tuliamua kupambana nayo na tukawashinda tangu 1995. Lakini sasa tuseme iwe mwisho

View attachment 3443220
Mbona ana sauti laini sana wala hatishi
 
it makes sense, Christians hawana hayo mambo, ni mambo ambayo tunayaona kwenye islamic republics sana sana, sasa mmeleewa tunaposema siku zote kwamba tatizo ni mulsim wa tanzagiza ndiyo wanatulostisha sana kwa kukumbatia na kuabudu waarabu, irani, wahindi/pakis kwani huyo ni muslim ktk zanzibar kaongea hayo, wewe ni nani hata umpinge?

siku mtakuja kuelewa kwamba mwarabu, au pakis kama bith au sijui deji hawawezi kukuthamini hata siku moja na wanawatumia tu watu weusi kama daraja kujitajirisha ndiyo tutaweza kutoka hapa kama nchi na kuendelea as black people, tuanzishe na kujenga black business kama alivyofanya R.Mengi au Ali Mfuruki tujisaidie wenyewe ...
Mmmh, wewe nawe. Magufuli ilikiwa muislam sio? Au unajifanya hauoni unyama uliofanyika wakati ule?
 
kama ni kweli Magu alifanya huo unyama unaousema angekuwa bado anaishi leo hii ...
Kufanya unyama haimaanishi kuua kila mtu. Hata Hitler hakuuwa wayahudi wote.

Unachouliza na sawa na mtu asema "kama Hitler alokuwa mnyama mbona wewe myahudi uko hai mpaka leo?".
 
Kufanya unyama haimaanishi kuua kila mtu. Hata Hitler hakuuwa wayahudi wote.

Unachouliza na sawa na mtu asema "kama Hitler alokuwa mnyama mbona wewe myahudi uko hai mpaka leo?".

lkn hakuna myahudi anayeuliwa na kufanyiwa unyama leo hii kwa maana tatizo lilisha kufa, ...
 
it makes sense, Christians hawana hayo mambo, ni mambo ambayo tunayaona kwenye islamic republics sana sana, sasa mmeleewa tunaposema siku zote kwamba tatizo ni mulsim wa tanzagiza ndiyo wanatulostisha sana kwa kukumbatia na kuabudu waarabu, irani, wahindi/pakis kwani huyo ni muslim ktk zanzibar kaongea hayo, wewe ni nani hata umpinge?

siku mtakuja kuelewa kwamba mwarabu, au pakis kama bith au sijui deji hawawezi kukuthamini hata siku moja na wanawatumia tu watu weusi kama daraja kujitajirisha ndiyo tutaweza kutoka hapa kama nchi na kuendelea as black people, tuanzishe na kujenga black business kama alivyofanya R.Mengi au Ali Mfuruki tujisaidie wenyewe ...
Wewe unasumbuliwa na udini utawala wa magufuli ulikua wakiislamu mbona hayo mambo kuteka watu kupotea yalikuwepo sana tu wacha udini utakufa suku sio zako pole sana
 
Wewe unasumbuliwa na udini utawala wa magufuli ulikua wakiislamu mbona hayo mambo kuteka watu kupotea yalikuwepo sana tu wacha udini utakufa suku sio zako pole sana

Ali Mufuruki (rip) alikuwa one of heroes na alikuwa Muslim ...
 
it makes sense, Christians hawana hayo mambo, ni mambo ambayo tunayaona kwenye islamic republics sana sana, sasa mmeleewa tunaposema siku zote kwamba tatizo ni mulsim wa tanzagiza ndiyo wanatulostisha sana kwa kukumbatia na kuabudu waarabu, irani, wahindi/pakis kwani huyo ni muslim ktk zanzibar kaongea hayo, wewe ni nani hata umpinge?

siku mtakuja kuelewa kwamba mwarabu, au pakis kama bith au sijui deji hawawezi kukuthamini hata siku moja na wanawatumia tu watu weusi kama daraja kujitajirisha ndiyo tutaweza kutoka hapa kama nchi na kuendelea as black people, tuanzishe na kujenga black business kama alivyofanya R.Mengi au Ali Mfuruki tujisaidie wenyewe ...

PuMBAV Kabisa we jamaa
 
Back
Top Bottom