otea nani alesema hivi?

bado nakusanya data then draw itachezwa nataka nipate maoni walau 200 hv ukiondoa yangu then nichakachue
Umeahidi soda! na watu wamepata sasa je umeshawapatia hizo soda mkuu?
 
muulize Al-adawi atakua anamjua teh teh teh!
 
muhuni yule alikuja kutuibia tena akaona moto wa dowans bado unawaka kakimbia ila usishangae akarudi tena
muulize Al-adawi atakua anamjua teh teh teh!
 
Ni mgombea urais mtarajiwa wa ccm 2015
Kuna watu hapa kwa kiburi chao watabisha!
 
mbona umetahadharisha kwani mgombea si mpaka apigiwe kura na kamati kuu ya CCM sema wasiwasi wangu ni kwenye kukubalika kwa wananchi
Ni mgombea urais mtarajiwa wa ccm 2015
Kuna watu hapa kwa kiburi chao watabisha!
 
waziri mkuu mwenye mvi nyingi na mwizi sana kuwahi kutokea katika historia ya nchi hii, ndg. NGOYAI LOWASSA:tongue:
 
Na kwa taarifa yenu analipwa asilimia80 ya mshahara anaolipwa waziri mkuu kila mwezi ikiwa ni malipo ya waziri mkuu mstaafu.

mhh Ndibalema hebu tupe chanzo cha habari yako tuanze maandamano mpaka kwa mkwere atanagazie umma kama huyu handsome boy alistaafu au kajiuzulu na kwa nn alipwe hizo hela wkt wanachi wanataabika kila kona.
 
tuweke record sawa; kuna kustaafu, kustaafishwa na kujizulu, huyu jamaa alijiuzulu
lugha rahisi:
Kujiuzulu= Kuamua kuacha kazi kwa kukiri kuishindwa kazi hiyo kwa sababu yoyote ile
Hitimisho- kwa hiyo Edward ngoyai lowassa alijiuzulu
asanteni
hayo maelezo ya hilo neno KUJIUZULU yanapatikana kwenye kamusi gani?maana nimependezwa nayo.lakini nina maswali machache (1)huko kustaafishwa ndio vipi? (2)Je mtu aliyejiuzulu anaitwaje? Mjiuzulu au? maana kila nikichakachua sipati picha.
 
Ni dk Slaa na inshu ya mke wa mtu!
NIMEFADHAIKA SANA, NIMEDHALILISHWA SANA, NIMEONEWA SANA KATIKA HILI,, there's a wish which am going to grant, TATIZO NI UWAZIRI MKUU...

ukipatia unapata soda ya bure baada ya kuchezesha draw ya washiriki wote wa shindano hili
 
Teh teh teh kajamaa bana eti 'Nimedhalilishwa sana, nimeonewa sana, ....' Puuumbavuuu.
 
hivi kumbe alilalamika kwamba ameonewa sasa kaonewa kwa lipi??maana kiongozi unatakiwa uwe na akili sana na msimamo pia
Teh teh teh kajamaa bana eti 'Nimedhalilishwa sana, nimeonewa sana, ....' Puuumbavuuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…