Oscar Pistorius jailed 6yrs

Oscar Pistorius jailed 6yrs

Kaduguda

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2008
Posts
724
Reaction score
641
Yule mkimbiaji kilema Oscar Pistorius oka Africa Kusini aliyemuua aliyekuwa mchumba wake Reeva Steenkamp Mahakama imemtia hatiani na kumuhukumu kifungo cha miaka 6 jela kwa kosa hilo. Oscar alifanya kosa hilo mwaka 2013 huko Afrika Kusini. Sheria ni msumeno!
 
Mkimbiza upepo maarufu wa Afrika kusini Oscar Pistorius hatimaye amehukumiwa miaka sita gerezani kwa kumuua mpenzi wake nakuhitimisha mbio na mivutano ya kisheria ya muda mrefu.majaji wetu wana kitu cha kujifunza hapa kutokutoa maamuzi kwa mihemko maana siye kila anayeuwa lazima anyongwe hadi kufa
 
Afungwe tu. Yeye kaua, afu anataka aonewe huruma kisa yeye ni mlemavu.
 
Hukumu imetoka ili kuwafariji wazazi & ndugu wa marehemu but Serikali ya South Africa ilipigana asifungwe.

Baada ya miaka 2 hivi watu wakiwa washasahau jamaa atatolewa hata kwa msamaha.
 
miaka sita aliyofungwa, kwa sheria za South Africa, ina maana ata serve minimum 3 years ndio awe considered kwa parole

lakini kwa kuwa amesha serve miaka hiyo tayari wakati wa undeshwaji wa kesi, na baadhi ya hiyo akiwa on bail, bado wanahesabu kwamba ameserve,.. msishangae kumuona akitoka kutumikia kifungo cha nje tena very soon on parole basis. lakini basically wazazi wa Reeva wameridhika, manake all they wanted was pistorius awe guilt kwa charge aliyosomewa, bila kujali how long ata serve
 
Mwanariadha wa South Afrika Oscar Pistorius, leo amehukumiwa kifungo cha miaka 6 Jela kwa kosa la kumuua mpenzi wake.

1467801324772.jpg
 
Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela kwa mauaji ya mchumba wake. Hii imefuatia rufaa iliyokatwa na Serikali.

Baada ya hukumu hiyo,Pistorius alichukuliwa na askari kupelekwa gerezani kuanza kifungo chake. Uamuzi wa leo unaufuta ule uliotangulia ambapo Pistorius alihukumiwa kifungo cha nje.
 
Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela kwa mauaji ya mchumba wake. Hii imefuatia rufaa iliyokatwa na Serikali.

Baada ya hukumu hiyo,Pistorius alichukuliwa na askari kupelekwa gerezani kuanza kifungo chake. Uamuzi wa leo unaufuta ule uliotangulia ambapo Pistorius alihukumiwa kifungo cha nje.
Hivi mahesabu ya jela si huwa wanahesabu usiku na mchana? Kwanini wasiseme kahukumiwa miaka 3?
 
Hukumu ya kwanza alitiwa hatiani kwa kosa la capable homicide...mawakili wa upande wa mashtaka wakakata rufaa Na kesi ikabalika kuwa murder ambapo kwa sheria za SA minimum sentence no 15 years...judge Masipa kamfunga miaka 6.


Familia ya Reeva itakuwa imeridhika kwa Pistorious kuwa charged kwa murder..Na walishasema wamemsamehe ila wangependa apewe adhabu stahiki..

Ila nilichoshangaa kwenye hii kesi...ni kwa nn yule yule judge aliyemuhukumu 5yrs in jail for capable homicide na sio hata manslaughter ndo huyo huyo aliendelea na hyo kesi hata baada ya charges kubadilika na kuwa murder??au wenzeti SA wanaamini sana majaji wao..???ingekuwa hapo kwetu lazima judge angebadilishwa...
 
miaka sita aliyofungwa, kwa sheria za South Africa, ina maana ata serve minimum 3 years ndio awe considered kwa parole

lakini kwa kuwa amesha serve miaka hiyo tayari wakati wa undeshwaji wa kesi, na baadhi ya hiyo akiwa on bail, bado wanahesabu kwamba ameserve,.. msishangae kumuona akitoka kutumikia kifungo cha nje tena very soon on parole basis. lakini basically wazazi wa Reeva wameridhika, manake all they wanted was pistorius awe guilt kwa charge aliyosomewa, bila kujali how long ata serve
Nimekuelewa sana mkuu japo hicho kiinglish chako kimenisumbua sana
 
Back
Top Bottom