JF Doctors,
Greetings.
Kuna wakati flani 2011 nilifanyiwa Orthopaedic Surgery, to be precise ORIF(Open Reduction Internal Fixation)- yaani niliwekewa vyuma (metallic plates) katika mkono wangu. Dec,2012 wakavitoa hivyo vyuma(metallic plates)
Swali:
1). Je ni mazingira Gani yanayopelekea mtu kubaki zwa na chuma (plates) maisha yake yoote?
2).Ni madhara gaani ya chuma(metallic plates) kuendelea kubaki katika mwili/mifupa hata pale mifupa ikiishaunga?
3).ORIF inatakiwa kufanyiwa mara ngapi katika mfupa mmoja? Yaani kama Mimi, naweza fanyiwa Tena ORIF ? i.e ORIF Ina ukomo?
Chante.
Greetings.
Kuna wakati flani 2011 nilifanyiwa Orthopaedic Surgery, to be precise ORIF(Open Reduction Internal Fixation)- yaani niliwekewa vyuma (metallic plates) katika mkono wangu. Dec,2012 wakavitoa hivyo vyuma(metallic plates)
Swali:
1). Je ni mazingira Gani yanayopelekea mtu kubaki zwa na chuma (plates) maisha yake yoote?
2).Ni madhara gaani ya chuma(metallic plates) kuendelea kubaki katika mwili/mifupa hata pale mifupa ikiishaunga?
3).ORIF inatakiwa kufanyiwa mara ngapi katika mfupa mmoja? Yaani kama Mimi, naweza fanyiwa Tena ORIF ? i.e ORIF Ina ukomo?
Chante.