Paul Mchumi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2013
- 1,040
- 1,273
Kolimba alikufa baada ya kunywa maji wakati wa kuhojiwa na kamati kuu ya ccm!!!
Mkuu mbona naskia,alipotezwa kwa sumu iliyoekwa kwenye maiki ya kuongelea,alipohtajika ajitete kwenye kamati kuu,ile anaanza tu kusema hallo!hallo!mara chari....kumbe sumu imetegeshewa kwenye maiki,tofauti na hii ya kuweka sumu kwenye kitauro cha kujifutia mikono baada ya kula waliyotaka wamuulie Mwakyembe,maCCM mungu awalani kwa kweli na muangamie....