Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,377
Tukiachana na hali halisi tupo nyuma kwenye huu uwanja wa apps development hapa bongo, bado kuna watz wanajikita kutengeneza apps japo wengi hatuzifahamu , kuna kipindi nilisikia kuna mwanafunzi alitengeneza game la bao pale i.f.m nilifurahi
Japo sikifatilia kama ali-code mwenyewe au la, ni wakati wa kujivunia tulivyonavyo watanzania,
Tupia apps za simu au program za computer hapa zilizotengenezwa na wa-tz ili tuweze kunufaika kwa njia moja au nyingine
Japo sikifatilia kama ali-code mwenyewe au la, ni wakati wa kujivunia tulivyonavyo watanzania,
Tupia apps za simu au program za computer hapa zilizotengenezwa na wa-tz ili tuweze kunufaika kwa njia moja au nyingine