Richard irakunda
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 3,659
- 4,386
vip kuhusu saudia mwenye bajeti kubwa ya kijeshi lkn kashindwa kutimiza malengo yake yemen-Hapana silaha kubwa duniani ni binadamu anayeweza kuitengeneza silaha kubwa duniani. Kama hauna huyo mtu utaenda kununua aliyoitengeneza yeye- na madhara yake unayajua.
Kutumia Nuclear sio kuipania vita. Mfano mzuri tu ambao umeutoa Syria utasema US alikuwa anapigana na Syria?? Hajatumia hata 25% ya uwezo wake wa kijeshi Syria[mawazo binafsi] kama sisi tulivyotumia kila kitu Uganda hadi jana madeni tunayo.
Umeshanitoa kwenye hoja ya Zana na bajeti nzuri ni vigezo vya jeshi kuwa bora.