Orodha ya Majeshi Imara Afrika

Orodha ya Majeshi Imara Afrika

Jeshi letu linaongoza kwa kulenga shabaha kule darfur na Beni Kongo,ingawa ni kwenye mazoezi.Watanzania huwa tunaogopeshwa kulisema jeshi letu kana kwamba liko mbinguni.Hapa duniani majeshi yanajulikana yote,ukiwa mkali kwa porojo unajulikana na wakali kivitendo wanajulikana.
 
Wewe hupendi kwenda ulaya mkuu? Unawajua walioficha pesa kwenye mabenki ya ulaya? Wewe ni kibarua
Ww nenda tu mkuu huna haja ya kuomba vita, sisi tuombee tubaki salama, tumeridhika na amani tulionayo.
 
pamoja nakwamba jeshi letu halipo kwenye orodha hiyo lakini tukiingia kwenye vitendo tutawachapa.
 
Hizi positions za majeshi ya africa zinatakiwa kufanyiwa maboresho maana orodha hii ina miaka mingi bila maboresho inatakiwa '' iandikwe mfano '' top 10 za majeshi ya afrika 2018
Sasa 2019 nataka no 10.wekeni Jwtz Tanzania
 
kwanza kitendo tu cha kanal kukimbia alivyoona jw imefika ni heshima tosha

alafu kanal alikuwa anapewa bac up na wafaransa hivyo bas atuna namna zaid ya kusema jw ilienda sambamba na ufaransa kama tiss alivyoitesa boss ya makaburu
hapo kwenye TISS ipi? how hebu nifafanulie boss
 
Ukisikia fitina ndio hizi, yaani tusiwe kenye best ten? napping kabisaaaaa TZ pekee ndio imewahi kuipiga nchi nyingine afrika na kuupindua uongozi wake kwa nguvu za kijeshi
Sio hilo tu.pia jw tulipewa tuzo liberia.km jeshi bora kbs na lenye nidhamu na utii wa hari ya juu.hii ni baada ya kuvunja rekodi ya kkusanya siraha kw waasi wa liberia.kz ambay ECOMONG(mtanisahihisha km nimekosea jina)iliwashinda.
 
Back
Top Bottom