Wa Kwilondo
JF-Expert Member
- Sep 15, 2007
- 1,081
- 313
Mabosi wa TBC wamekuwa wakipigana vikumbo kukwepa ku renew contract ya hawa vijana machachari wanaokosa umaarufu kila kukicha,taarifa zinasema wao wenyewe wameanza kushtukia hiyo baada ya kipigwa kalenda kila siku huku ma technicians wa TBC wakirudia rudia show zao zilizopita miaka mingi,,kwa nini TBC wasiwe wazi na kukataa ku sign au ku sign ili hawa wandugu wajue moja??Tbc wakikataa ku sign hawa jamaa itakuwa ndio mwisho wao au wataenda ITV?watathubu kwenda ITV na walishamtukana mzee Mengi live kila mtu aliona??waswahili wanasema usinyee kambi,,kazi ipo!
All in all vijana wako vizuri hakuna kikundi kimewafikia ila walizidisha mbwembwe! Taarifa ni kuwa mkataba mpya wanaanza next month! Tbc cant loose them wameshapoteza vipindi vingi now na kupoteza mvuto! Kuna vipindi vingi vinategemea kuanza next m6nth like cha B kinyaia na maimartha
g
yes, Creativity finyu, kufanya watu wacheke mwaka mzima si shughuli ndogo -- pia waangalie mno kujihusisha na kampeni za CCM zitawamaliza.Mkuu Wa kwilondo unafikiri wanaweza kufikia ule umaarufu walioanza nao??unakumbuka enzi zetu wakati wa muziki wa Dance band zetu zilivyokuwa maarufu kwa miaka mingi bila kuchuja??hawa jamaa zetu hawawezi bana,shida kubwa ni elimu hawana,halafu uwezo mdogo wa kufikiri vilevile
Nilikuwa natafuta comment kama hii....thanks arifu.....who is Mengi bana?? nchi hii mtamfanya kila mtu mtume sasa
wale wana maisha yao, hata wasipoonekana kwenye TV,
nani asiyeogopa maisha?? nani ana hakika ya siku zijazo?
Nishindwe kusema ukweli leo ili nikiharibikiwa nirudi kwa aliyenikosea??
chai hizi mnajianika na pumba zenu, ndiyo akina Lamwai, kabourou, n.k wanafanya kama nyie mnavyosema yet mnawaita wasaliti!
Ni vibaya kuwaombea vijana wenzako mabaya!
Huwezi kuwafananisha na lile kundi la bongo dar es salaam kile kipindi cha utapel kilikuwa kinatoa elimuWote mliochangia mnachuki binafsi na hawa washikaji. Mbona jamaa ni creative sana, na mimi sijaona hapa Tanzania wenye vipaji kama kundi hili, waigizaji wengine wanaigiza kwa mtindo wa miaka ya 47'. kama hao wa EATV ndiyo wamechoka kabisa huwezi kuwalinganisha na akina masanja hata kidogo, hata wale wa channel ten na star tv wote hao hawana vipaji, hata mizengwe siku hizi hakuna kitu. Ukweli ni kuwa Orijino komedi wapo juu!!