accountant D
Member
- Dec 17, 2013
- 46
- 17
- Thread starter
- #21
Kila la kheri kijana, ukianza kazi observe time kiukweli ukweli.
Halafu jielimishe zaidi na zaidi kwa vitu vya msingi, ujaribu kupunguza muda wa kuwa kwenye mitandao kadri iwezekanavyo.
Kule utahitajika kusoma mitihani ya ACCA/CPA/CISA kutegemeana na nini unafanya, fee, vitabu, review vyote unapewa, ni wewe tu na muda wako kusoma na kufanya kazi.
You wont regret working with those guys for sure.
Thanks alot for the heads up...tayari nilishaanza CPA na nitafanya kuendeleza..