Lizzy, nadhani kila mtu ana degree ya opportunism. Kinacho tutofautisha ni kua wazi about nia zetu tunapoanza uhusiano. Ukimpenda mtu because of his hability of making you happy, there is a dose of selfishness and opportunism right there... if he fails to make you happy you will fly to a better sky.
Kwangu mimi opportunism mbaya ni pale mtu anapo tumia uongo na fake faces kwa kufikia lengo lake. Ila kama tuko wazi toka mwanzo nampa heshima yake tu kama kawaida, na kama opportunity anayo itafuta kwangu itanisaidia na mimi kuendelea mbele, why not?