Oppo ana copy sana kwa iPhone

daima huwa nalilia UI za androidi kukaa kipopoma.

samsung amejitahidi kufanya yake iwe tofauti na wengine,ila hawa oppo wamefanya kitu cha maana sana,inavutia mno.

naweza weka hivi.

1-oppo
2-samsung
3-huawei.

hawa android wengine hawako serious na kazi zao.
 
Soko la smartphones liko hivyo kuanzia hardware mpaka software.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…