Opereshenii ya kulinda wanyamapori

Opereshenii ya kulinda wanyamapori

lucas ngoto

Member
Joined
Sep 13, 2013
Posts
69
Reaction score
3
oporesheni ya kulinda wanyamapoli imevikumba baadhi ya vijiji vya wilaya ya Tarime na kuwahusisha baadhi ya viongozi wa serikali na wawakilishi wa wananchi.uporesheni hiyo inavihusisha vyombo mbalimbali kama vile jwt usalama n.k na ktk masako huo kumekuwa na matukio mbalimbali ambayo yanaashilia ile kauli ya wazili mkuu pinda inatekelezwa ya wapigwe tu.baadhi mambo ni baadhi ya nyumba kuchomwa na vitu kuugulia ndani,watu kupigwa sana na kwa sasa nipo bunda ddh nimekuja kumwona mhe diwani ambaye pia amekamatwa ktk msako huo na yy anamini nimambo kisiasa wapo ddh watu kama4 ambao wamepokea kipigo cha kutosha wanahudumia huku wakiwa chini ya ulinzi wa jwt na tanapa na kumjibu wa majeruhi hao mwezao mmoja amekufa na maiti yake ipo ya ddh seregeti na nimeogeoa na diwani wa kata ya kemambo yupo seregeti kuchukua mwili wa marehemu hiyu make ni wa kata yake.wakati nikiwa hapa ddh tukiahudumia hawa wagonjwa watu wamekuwa wakisema kama hawa wamepigwa na jwt ni mungu tu amewasaidia make jeshi huw limeandaliwa kwa ajili ya vita sio opresheni kuua jeshi sio la kushagaza,wakati huo mahakama ya (w)Bunda ili ilipokea watu wasiopugua 50 wakiwa na tuhuma mbalimbali ya wanyamapoli na kuwa na silaha.Laiti kama serikali igefanya ktk kushugulikia mafisadi nchi hii igekuwa mbali sana
 
mimi nashagaa kitu kimoja kumbe wakati wa oporesheni huwa sheria huwa hazifuatwi hasa zile zinazosema mtu atapewa adhabu baada ya mahakama kudhibitisha kwamba mtu ana hatia make watu wamepigwa kama vile ndo hukumu yao imesema hivyo.Utawala wa kisheria uko wapi jamani maana unamtendea mtu hivi na ww ni serikali je wasio na uelewa watafanyaje Mungu isaidie Tanzania na serikali yake na watu wake waume kwa wake watendeane haki maana bila haki hamna amani
 
cha ajabu matibabu na chakula cha tangu jana wakiwa hosptali tumeghalimika cc na wao ndo waliowapiga na kuwaleta hosptali
 
Upolesheni ya kurinda wanyama poli...nilidhani ni kilugha
 
nitachangia lakini kwanza rekebisha baadhi ya maneno kwasababu hayapo sahihi
 
hahahaha...kabla hata sjafungua huu uzi na kusoma kilichomo ndani nilishaanza kucheka kwani nilielewa ni nin wadau watakuwa wamechangia..hahahahahahahahahahahahahahahahaha
 
Hii hopelesheni ifanyikie serena hotel tafadhari. Hehehe

Ha ha haaaa arafu uje useme aki za binahadamu azijadhingatiwa kwa sababu oterini tumekupereka sis rakini chakura wameripia ndugu dhako!!!!!
 
Chakura razima mripie na achikirimu nakura mala mbiri. Yaani ndugu zangu awatakuja.
Ha ha haaaa arafu uje useme aki za binahadamu azijadhingatiwa kwa sababu oterini tumekupereka sis rakini chakura wameripia ndugu dhako!!!!!
 
Back
Top Bottom