ngilenengo1
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,275
- 605
Wananchi wamechoka sana, wamekata tamaa. Wanaweza kuwa tayari kwa lolote. mungu aepushe mbali
Tatizo lingine ambalo naliona linajirudia rudia sana ni suala la kukanusha uzushi wa habari zinazotolewa kwenye mitandao ya kijamii.Mkuu upo sahihi kabisa...kazi ya rais ni kuongoza kuleta maendeleo nchini mwake,hizi siasa awaachie chama chake watazifanya vizuri sana kupambana na ukawa...
Yaani shida hapa wa sio ukawa,kuna tatizo na taasisi ya urais,kuna tatizo mkuu,wajiangalie deeply waangalie priority yao ni nini kama ni siasa au maendeleo
Nadhani ccm inatosha kwenda head to head with ukawa na ndio inavyotakiwa,rais is too big and important to deal with these petty things bwana...Akifanya hivyo atafeli,atachoka,then whooola 2020 hii hapa,utashangaa hana milestone...Halafu sijui anaiamini vipi innercircle yake,inaweza change nae akaona nyota bro.
Kwani lengo ni Kumpeleka Magufuli ICC au lengo ni kuhakikisha wananchi wanapata maendeleo? hapo ndipo ujinga wa Chadema unapokua dhahiri.
Kabla ya kucommet unatakiwa ufanye research kwanza jiulize marekani mwanachama wa icc?
mi nachofurahi ni kuwa maandamano lazima yatakuwepo..kama sio ya CHADEMA...Ni ya polisi wataandamana nchi nzima kwa niaba ya chademaHii kitu inaitwa UKUTA ndio dawa yake maana na kisayansi zaidi
zuio likishatoka,maana yake umefanya kinyume na tamko halali la serikali,hapo ICC itamuhusu piaMbowe anachochea fujo? kwani maandamano ya amani kupinga udikiteta siku hizi yanaitwa jina jingine "fujo"?
Si unakumbuka yale ya dodoma polisi walivyo amua kuandamana badala ya bavicha?mi nachofurahi ni kuwa maandamano lazima yatakuwepo..kama sio ya CHADEMA...Ni ya polisi wataandamana nchi nzima kwa niaba ya chadema
Wakati Magufuli anaenda ICC,
Wewe Utakuwa KABURINI Muda huo.
MBOWE,LOWASSA NA FAMILIA ZAO WATAKUWA WAMEENDA IBIZA KULA BADA KABLA KUTIMKIA KWENYE NYUMBA ZAO HUKO DUBAI.[/100]
zuio likishatoka,maana yake umefanya kinyume na tamko halali la serikali,hapo ICC itamuhusu pia
AU wameshakataa sitting president kwenda ICC, traitors at best.Unafikiri kwa wewe kuwa hai ni wangapi walishatangulia mbele ya haki na wewe ukazaliwa ?.
zuio likishatoka,maana yake umefanya kinyume na tamko halali la serikali,hapo ICC itamuhusu pia
ok, kwa hiyo wanataka tena kutumia damu za watu kupata mtaji wa kisiasa??!!! kweli mwenye macho haambiwi tazama, na wajinga ndio waliwao
AU wameshakataa sitting president kwenda ICC, traitors at best.
Kwanza mkifanya hivyo ndo mawazo yenu mnapoteza zaidi. Na uchaguzi unafutwa inakuwa kukabidhiana madaraka. Wameshindwa kumpeleka Kiir ama Machari ama Nkurunziza ndiyo vimaandamano vyenu mnamfikiria ICC, mmepoteza mtapigwa bure.
Nchi iongozwe kwa mujibu wa Katiba na sio kwa utashi wa mtu mmoja ,waliotunga Katiba waliyaona haya ..Ni muhimu na jambo jema kuheshimu haki za wengine bila ya kujali hadhi zao.
Kuna ukweli hapoNa ndiyo maana anafanya atakavyo maana anajua kuwa mwisho wake ni 2020
nimegundua ya kwamba,watu wa dizaini hii ya kusifia kila kitu ni watu watupu vichwani na wanaojifanya kujua kilaaaaaa kitu.Slogan ya Chadema ni maandamano kwanza ,maendeleo baadae.
Kwa huu upuuzi watu Wenye akili hawatabaki Chadema
Very timely arranged....! Kinachotokea ni kumchosha na kumuanika jamaa udhaifu wake na watendaji wake....ni mbinu za kisiasa kupima weledi wake na hekima yake...hili wengi hawajaligundua
Mwisho akifanikiwa kutoharibu atakuwa amechoka mno...angalia sasa operation UKUTA imemlazimisha naye aanze kuzunguka mikoani kama kipindi cha kampeni wakati huku kuna majukumu ya urais yanamsubiri
Haya mambo ya kisiasa angekiachia chama chini ya katibu mkuu . katibu mwenezi na viongozi wengine waifanye ili binafsi apate wasaa mzuri wa kushughulika na ya kitaifa
Wenzake wana majukumu ya kichama tu anataka kushindana nao....ikifika 2018 kwa mwendo huu atakuwa hoi mno na hiki ndio upinzani wanachotafuta
Ukitaka kumshinda mpinzani wako mchoshe mwili na akili
Jamani naomba updates..vipi maandamano yalifanyika?
Hamna MTZ atakaye jitokeza ktk maandamano haya ya kipuuziMwenye macho haambiwi tizama ila huangalia mwenyewe na kuona kinacho tokea. Operesheni UKUTA imeratibiwa maalumu kwa kumuweka Magufuli kwenye mtego wa kwenda ICC na wananchi kumchukia kwa mkono uliojaa damu za ndugu zao. Ikiwa hakuna sheria inayozuwia mikutano ya siasa kufanya mikutano isipokuwa kauli ya raisi na polisi tu. Leo ikitokea kufanyika mikutano na polisi kuuwa wananchi wasio na hatia Vyama vya Upinzani na kufungua kesi Mahakama ya Afrika Mashariki na ICC serikali itajitetea kwa kutumia kipengele kipi cha katiba na sheria?