Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willbroad Slaa akihutubia maelfu ya wananchi wa Kijiji cha Ludewa, wilayani Kilosa, mkoani Morogoro katika mkutano wa Operesheni Delete CCM, uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Ludewa.
Naiona benders ya Cuf sambamba na bendera ya Chadema, yale Magamba yalioanzisha uzi ili kufarakanisha Chadema na Vyama vingine vya UKAWA inabidi mjitafakari upya.. Dua la kuku halimpati mwewe
Angalia vizuri kwenye huo mlingoti.Bendera ya CHADEMA iko juu ya CUF iko chini WHY NOT VICE VERSA?
Hiyo bendera wanatembea nayo kuzuga kuwa mikutano yao imeitishwa na UKAWA halafu waanza kujinadi kama CHADEMA kilichopewa eneo hilo na UKAWA.