Nyie lumumbas Garama za mikutano yenu yote zinatokana n'a Kodi zetu.....nyie ngeke vyanzo vyenu vyote vya fedha mshajidhulumu wenyewe na kujiibiaaa......SWALI LA KIZUSHI. Hivii operetion ukuta maandamano na mikutano nchi nzima! Je inagharamiwa na nani? na nikiasi gani cha fedha kitakachotumika?
Utakuwepo?
Ngoja nisubiri jibu lake kwanzaAwepo wapi hata ndugu yake tu atamkataza kwenda kwanza siajabu hata haishi TZ!
Habar ya Jpil mkuu?mimi binafsi nimegalimia t.shirts 1200 kwa pesa yangu.
View attachment 381409 View attachment 381410
swissme
kitambo sana!!zako vipi poa umekunywa the chai.
swissme