Acha mawazo potofu wewe!!! Uliona wapi wanaharakati kubeba familia zao kwenye harakati zao za siasa?? Mkwawa alikuwa na mkewe katika vita? Kinjeketile je? Vita ya kagera Nyerere alienda na mkewe?? Acheni kutoa hoja zisizo na msingi kwa kuwafanya watu wote wajinga...Kama katika maandamano hayo Mbowe atakuwa yeye, mkewe na watoto wake
lowassa awe yeye na mkewe na watoto wake
tundu lissu yeye na familia yake na ndugu zake mjomba shangazi na babu
lema yeye na mke wake na ndugu zake
profesa jay na mke wake (kama anae) na ndugu zake
ndesamburo na ndugu zake wote wa kule moshi
mzee mtei na watoto wake na ndugu zake kina haika
HALAFU WAWE KATIKA MSTARI WA MBELE wa maandamano hayo
hapo nitawaona wana akili na kweli wanataka mapinduzi
ila sio kuwatanguliza akina nanii mbele huku wao wako Dubai wanakunywa juice
![]()
Amesema ukweli gani huyo the lemburulaz mwenzako? anayevunja Katiba ndo mhainiUmeongea ukweli mtupu.
Kwa sababu umejificha sio?Amesema ukweli gani huyo the lemburulaz mwenzako? anayevunja Katiba ndo mhaini
Hawana jeuri ya kufanya mapinduzi. Yale magari ya kuwasha yalinunuliwa kwa ajili ya watu kama hawa wanaojifanya vichwa ngumu. Virungu pia vipo kwa ajili yao. Rais ameshawaambia hajaribiwi na hatojaribiwa.
Hawa wala sio wa kumnyima mtu usingizi. Wajipange kweli kweli kama wanayo mawazo ya kuitikisa nchi. Sana sana wataishia kuwa sehemu tu ya taarifa ya habari ya saa mbili usiku.