Yule mateka mwananeshi mwenye uraia pacha waliyemwachia Kwa mbwembwe nyingi kawaponza hamasIDF hana huruma kwa mabomu anayoshusha leo ni habari ingine
Kama BerkaneJamaa kakabia juu sana
Netanyahu amezeeka kinoma hadi amekuwa mdogo nadhani kwa sasa atakuwa anavaa troiser size 32Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema Operation Gideon-Charriots inaendelea vizuri na itafanikiwa kuwabinya magaidi wa Hamas mpaka malengo ya vita yatimie.
Mpaka asubuhi hii ya leo magaidi wa Hamas wanapigwa kila sehemu na majeshi yetu yamezishika sehemu zote mhimu.
Kwa Wahouthi tunajua aliye nyuma yao nasi tuna mw angalia kwa macho mawili!!
View: https://x.com/lionsofzion_org/status/1924196910640058388?s=61
Aljazeera hayo majengo hawataki kuyaonesha maana wanasema Gaza imekuwa flatWaziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema Operation Gideon-Charriots inaendelea vizuri na itafanikiwa kuwabinya magaidi wa Hamas mpaka malengo ya vita yatimie.
Mpaka asubuhi hii ya leo magaidi wa Hamas wanapigwa kila sehemu na majeshi yetu yamezishika sehemu zote mhimu.
Kwa Wahouthi tunajua aliye nyuma yao nasi tuna mw angalia kwa macho mawili!!
View: https://x.com/lionsofzion_org/status/1924196910640058388?s=61
hivi hivi tu ila tunaweza fika nayo hii vita mpk 2030Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema Operation Gideon-Charriots inaendelea vizuri na itafanikiwa kuwabinya magaidi wa Hamas mpaka malengo ya vita yatimie.
Mpaka asubuhi hii ya leo magaidi wa Hamas wanapigwa kila sehemu na majeshi yetu yamezishika sehemu zote mhimu.
Kwa Wahouthi tunajua aliye nyuma yao nasi tuna mw angalia kwa macho mawili!!
View: https://x.com/lionsofzion_org/status/1924196910640058388?s=61