Operation Chaos: Lowassa, Chenge, Rostam et al; Don't Quit CCM!

Kuondoka kwao ni mwiba kwa CCM,kutokuondoka ni mwiba kwa CCM.
Wao kwa nafasi zao wapime tu ukubwa wa tatizo.
Ama CCM ife wakiwemo ama waiache ife yenyewe.
Mkuu hapa ungelikuwa sahihi kama elimu ya uraia na mabadiliko ya Katiba yamefanyika. Nachelea kusema kuwa bado tuna safari ndefu kuelekea katika ukombozi.
 
Inabidi tuwatie moyo hawa jamaa wabakie humo humo CCM.. it is good for the party and for their interests.

As usual. This is another testimony of use of trust with a view to misleading the public, especiallya those who adore you! Stop inflicting confusion. Thanks God that their fate is sealed and the rest of what you propagate is a sheer misplacement.
 
Naona kama wanaweza hata kumng'owa Chairman wao kama wakiamua muda wowote.
 
Siwapendi ''RACHEL'' na chama chao ccm ya sasa,,,,,naomba mwanakijiji usiwatetee maana wanaweza kubaki na kubakia kwao ni kuvuruga CCM na CCM inapovurugika ujue nchi yetu ....Tanzania pia inavurugika....siwatakisiwataki waondoke; kama inashindikana basi waondoke na Mkulu anayewaogopa au kuwalinda..mwanakijiji nakuheshimu acha utani hapa tunalinda maslahi ya nchi...kama wao wanadhani gamba siyo wao tu basi na wao wamtaje mkulu ajivue gamba mwenyewe
 
Hawiji mbuyi, mwneyu fyaumdeteli ukapikanisha?!!!
mkuu hapa ungelikuwa sahihi kama elimu ya uraia na mabadiliko ya katiba yamefanyika. Nachelea kusema kuwa bado tuna safari ndefu kuelekea katika ukombozi.
 


Hayo maneno niliyoyatilia 'alama' sidhani kama uko sahihi sana mkuu. Check out. Nijuavyo wote, kabla ya Rostam kuondoka, ni wajumbe wa NEC taifa. Rostam aliondolewa katika kamati kuu nafikiri kitambo kidogo. Katika kamati kuu halikadhalika aliondoka baada ya kuondolewa katika nafasi ya Katibu wa Uchumi na Fedha. Chenge aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili.

Ingawa on my own consciouness naamini neither of those RACHEL anastahili kuwa kiongozi wetu kutokana na record zao, lakini Kamanda I salute u for the analysis ambayo it also keeps clicking in my mind. HAWAPASWI kuondoka. Kwa sababu zipi waondoke? CCM waziseme hizo sababu black and white. Kisha waseme kama katika matendo yao waliyofanya chama, serikali and other big guys in same institutions hawakuhusika. Watuambie wazi tuelewe. Kama wanaamini hivyo basi wapush serikali ichukue hatua zaidi ya kufanya uchunguzi huru, kisha ngoma iende mahakamani. Si hii bla blah ya kudanganya watu kujivua gamba na kisha kutaka ku-sacrifice watu watatu. Uongo. Propaganda. Spinning. Bullshit. Nonsense!
 
Rostam ndiyo alivuruga hii operation chaos; but so far wahusika wameitekeleza to perfection!!! and the chaos continues!
 
Rostam ndiyo alivuruga hii operation chaos; but so far wahusika wameitekeleza to perfection!!! and the chaos continues!

MMM mwakani ni uchaguzi wa CCM. Kufika December mwakani tutakuwa tumesikia mengi.haitashangaza hata kusikia Nape amejisalimisha kwa hawa wababe wa CCM.
 
Kama mtu yeyote angeza kutabiri kuwa siku tisini zisingekuwa na tija kukipevua chama na kukifanya KIPYA! Inakuwaje Waasisi wa kampeni ya jivue gamba ... Wawe na Upofu kuliko mtu wa kawaida tu!
 
Kama mtu yeyote angeza kutabiri kuwa siku tisini zisingekuwa na tija kukipevua chama na kukifanya KIPYA! Inakuwaje Waasisi wa kampeni ya jivue gamba ... Wawe na Upofu kuliko mtu wa kawaida tu!

unajua watu wengi toka mwanzo walielewa kuwa nyoka habadiliki kwa sababu anaimba ati yeye samaki! Kisa nini "ati hana miguu". well wengi walielewa mapema tu kuwa CCM ni vigumu kubadilika bila kufa.
 
unajua watu wengi toka mwanzo walielewa kuwa nyoka habadiliki kwa sababu anaimba ati yeye samaki! Kisa nini "ati hana miguu". well wengi walielewa mapema tu kuwa CCM ni vigumu kubadilika bila kufa.

Ni kweli CCM haiwezi badilika bila kufa. Uamuzi wowote watakaofanya kama ni kujivua gamba ambalo karibia viongozi wote ni magamba ama kubakia walivyo utachelewesha tu kifo,lakini lazima mwisho CCM ife. Jambo pekee limechelewesha kifo cha CCM ni viongozi wa Vyombo vya Dola ambao wameamua kuitetea na kuilinda CCM badala ya Tanzania na wananchi wake walioapa kuwalinda.
 
You did hit The bull's eye!....
 
Mkuu, soma habari vizuri. Sidhani kama kuna mtu kaoshwa hapo. Watu wameambiwa wafanye maamuzi, ambayo matokeo yake, kwa uamuzi wowote ule, yatakuwa na athari kwa ccm.

Ninachoona hapa ni tahadhari inazingatiwa kwa vile " Ukimwaga mboga tu wenzio wanamwaga ugali" sasa sijui itakuwaje!!
 
Ila kinachoshangaza ni jinsi gani inaonekana ni vigumu sana kuamua ndani ya CCM. Sijui watafanya vipi tena kama watuhumiwa wakiendelea huu msimamo wa kutotoka. CCM itafanya nini? So far sioni kama wana uwezo wa kufanya lolote au chochote kwa yeyote.
 
Hakuna uamuzi wowote watakaoufanya CCM kuhusu Lowassa halafu wakabaki salama. hakuna! Lowassa akibakia ndani ya chama watajimaliza, akitupwa nje ya chama it will be even worse!.
 
Mwanakijiji u r right! this is like Tom and Jerry episode! Even the CCM Chairman has got no guts to point fingers to the RACHEL, he knows the truth about them and how they have lifted him to the throne. Without RA and EL Mr. President could have not been the way he is today. EL has sucrified his position and dignity only to rescue his long time friend/Govt and his party. Things could have been even worse if those measurements couldn't been taken. No one can dare tell EL on his face that he should resign, by doing so one has to be sure and should have concrete evidence! Forcing them to resign their whatever they are holding is not a good idea, but it is very healthy for the Party to compromise with them, especially EL if they dont want things to fall apart. EL is still powerfully and his move is very strategically. Time will tell, lets wait patiently and see!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…