Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Hii ni Openda maalum ambayo ni miongoni mwa 'sample' 2,000 zilizoletwa na wana DIASPORA huku zikiwa kivutio kwa Rais Jakaya Kikwete ambapo ametoa oda ziletwe 100,000 zitakazotumika kama moja ya kampeni ambako zinaimba wimbo wa CCM No.1 ulioimbwa na Kapteni John Komba wa TOT ambaye pia ni Mbunge wa Mbinga Magharibi.
Source:BONGOWEEKEND
Source:BONGOWEEKEND