nkanga chief
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 2,084
- 1,620
Wanadahili wanafunzi kwa ngazi ya degree direct chuoni bila kupitia tcu mbona hii wizara ya elimu siielewi msimamo wake ??open siwaelewi kabisa naona kama watu wanaliwa bure
mbona mimi nilienda wakaniambia nifanye aplication kupitia tcuOut wapo vizuri sana nenda ukasome,ila uwe unaweza kupiga msuli wa maana
Hata, sio matapeli hata kidogo, na ndio maana hakuna wanafunzi wanaoomba TCU afu wakapelekwa OUT. Kwahiyo ni lazima kuomba dilect kulingana na dhamira yako ya kusomea distant
Ingekuwa hivyo OUT isingeorodheshwa katika list ya vyuo under TCUHata, sio matapeli hata kidogo, na ndio maana hakuna wanafunzi wanaoomba TCU afu wakapelekwa OUT. Kwahiyo ni lazima kuomba dilect kulingana na dhamira yako ya kusomea distant
kuorodheshwa sio tatizo, mi nimeongelea kama alivyouliza mleta mada kuwa anatakiwa ku-apply moja kwa moja OUT na sio kupitia TCU. mean akikubaliwa OUT taarifa zake zitapelekwa TCU.Ingekuwa hivyo OUT isingeorodheshwa katika list ya vyuo under TCU
hilo ndoo swali langu mkuukuorodheshwa sio tatizo, mi nimeongelea kama alivyouliza mleta mada kuwa anatakiwa ku-apply moja kwa moja OUT na sio kupitia TCU. mean akikubaliwa OUT taarifa zake zitapelekwa TCU.