Wakuacha
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 2,046
- 1,340
Kabisa Mkuu..naona vyuo kama udsm and udom kunA program wanapewa degrree bila msote pass mark zipo chin
Kabisa Mkuu..naona vyuo kama udsm and udom kunA program wanapewa degrree bila msote pass mark zipo chin
Si kwamba watu wote wanafikiri kama wewe. Kuna mtu anamaliza six anapata kazi inamlipa 800,000/= sasa kwa nini aiache hiyo pesa yote? Mimi mwenyewe nimeomba BSc. ICT OPEN UNIVERSITY.Wanaosoma Open kama wewe ni waliofeli siku zote
Si kwamba watu wote wanafikiri kama wewe. Kuna mtu anamaliza six anapata kazi inamlipa 800,000/= sasa kwa nini aiache hiyo pesa yote? Mimi mwenyewe nimeomba BSc. ICT OPEN UNIVERSITY.
Kwa hiyo usikariri maisha watu wanaishi kwa malengo. Wakati wewe unatoka chuo na kuanza kuzunguka na bahasha wenzio wanaendeleza project zao na kutafuta kuwaajiri watu kama nyie msiojitambua.
Ipo. VETA miaka mi3. DIT Miaka mi3. Then university!Kwahiyo hakuna shortcut kwenda degree tena!!?
Ndiyo nimeomba mwaka huu na system inasema "I am conventionally selected" so muda si muda vyuo vitarudisha majina TCUMkuu umeomba mwaka huu?nimeomba law lakin tcu bado??
Sawa mkuuIpo. VETA miaka mi3. DIT Miaka mi3. Then university!