siraji ahmada
Member
- Aug 3, 2016
- 37
- 3
Vp wa foundation mwaka huu wanaendelea na degree au?
NI WEZI HAO OPENMbona wamesema wanaendelea ispokua wapya ndo haipo tena
Soma UDSM acha porojo, umesoma machakani sasa watafuta sifa ambazo hunaAchananeni na foundation maisha ya mkato mkato sasa hivi hayapo.......ila pamoja na hayo MTU aliyefaulu Foundation Open university of Tanzania ana uwezo Mkubwa sana kuzidi wanafunzi wenye degree za mezani kama za Udsm....Udom n.k
Sibishanagi ma watu wenye degree za mezani hata siku moja maana najua mnauwezo mdogo sana......Soma UDSM acha porojo, umesoma machakani sasa watafuta sifa ambazo huna
Utakuwa umesoma SAUT ama Tumaini vyuo vya kinyamera na kihuniSibishanagi ma watu wenye degree za mezani hata siku moja maana najua mnauwezo mdogo sana......
Wanaosoma Open kama wewe ni waliofeli siku zoteAchananeni na foundation maisha ya mkato mkato sasa hivi hayapo.......ila pamoja na hayo MTU aliyefaulu Foundation Open university of Tanzania ana uwezo Mkubwa sana kuzidi wanafunzi wenye degree za mezani kama za Udsm....Udom n.k
Kweli wewe ni great thinker. Walioanzisha vyuo vingine na tcu ni bure kabisa.Wanaosoma Open kama wewe ni waliofeli siku zote
Ha ha ha sijawahi kupata F.......aiseee katika maisha yangu mie hivyo vyuo vyenu vya degree za mezani sikuvutaka...habari za kukalilishwa na MTU mmoja mie sikuzitaka ....Wanaosoma Open kama wewe ni waliofeli siku zote
naona vyuo kama udsm and udom kunA program wanapewa degrree bila msote pass mark zipo chinHa ha ha sijawahi kupata F.......aiseee katika maisha yangu mie hivyo vyuo vyenu vya degree za mezani sikuvutaka...habari za kukalilishwa na MTU mmoja mie sikuzitaka ....