Wana jf naomba kujuzwa kama open university waliishaita watu kwenye interview.pia mwenye dondoo kuhusu nafasi za open university tulizoomba naomba atujuze.kazi njema wakuu
Hizo nafasi za kazi zilitangazwa lini, kama vipi muulizie huyo ndugu yako aliyekupa taarifa ya nafasi za kazi, sisi tunatafuta kazi nyie mnatangaziana nafasi za kazi kiundugu, sasa unaulizie interview, unataka tukujibu nini sasa? angryyyyyyyyyy!!!
Wana jf naomba kujuzwa kama open university waliishaita watu kwenye interview.pia mwenye dondoo kuhusu nafasi za open university tulizoomba naomba atujuze.kazi njema wakuu
Mwaipembe, usaili upo unaendelea hivi sasa........Kama hujaitwa......unaweza kuitwa anytime endapo GPA yako ya 1st degree ni nzuri yaani kwenye 4+, japo competition is so stiff!
Hizo nafasi za kazi zilitangazwa lini, kama vipi muulizie huyo ndugu yako aliyekupa taarifa ya nafasi za kazi, sisi tunatafuta kazi nyie mnatangaziana nafasi za kazi kiundugu, sasa unaulizie interview, unataka tukujibu nini sasa? angryyyyyyyyyy!!!
kaka ngoswe usiwe na hasira huwezi jua kila kitu mana hizi nafasi zilkuwa wazi kabisa.jaribu kutumia busara zaidi kaka maana hatuwezi fika popote kwa mwenendo huo
Hizo nafasi za kazi zilitangazwa lini, kama vipi muulizie huyo ndugu yako aliyekupa taarifa ya nafasi za kazi, sisi tunatafuta kazi nyie mnatangaziana nafasi za kazi kiundugu, sasa unaulizie interview, unataka tukujibu nini sasa? angryyyyyyyyyy!!!
Wana jf naomba kujuzwa kama open university waliishaita watu kwenye interview.pia mwenye dondoo kuhusu nafasi za open university tulizoomba naomba atujuze.kazi njema wakuu