Open letter to all the men I loved before

Ukiona umeachwa haimaanishi uendelee kung'ang'ania...

Source: Nazjaz.


Masuali hayaruhusiwi kwenye hili sredi.. lol. We elewa tu kuwa pepo ya kitandani imesitishwa kwa sasa. Khaa!
pia vigezo na masharti kuzingatiwa
 
Mwiba uliokwisha kuchoma ni vigumu kusau, ni waraka mzuri lakini sidhani kama utaweza kuenzi vilivyo
 
Yap nimemsoma hapo sijui hii drama ya kuandika waraka kwa watu wote aliowahi
kuwatunuku utaishia hapo au kuna remix yake itakuja
 
hhahaaaaaa!!! "JF, where we dare to talk openly" kila la kheri kwenye pepo ya paradiso
 
Mmh! Hao jamaa waliokukong'oli uliwapata humu JF bidada!
 
Did you love them or did you have sex with them?
 
na umepagawa na muyo cku umeteleza 2 nkikubinua,unaandika waraka mwingne kumweleza maneno haya haya ya leo,kwendeni kulee,nyie ni we2 na ni kama bus 2 akishuka,wanapanda.za mchana?

Hapo umenena,nasubiria cku nyingine ifike,uckie atasemaje....................................ashibaye hawazii njaa na mwenye njaa hujutia mabaki ya chakula aliyoyatupa jana....................................................
 
kumbuka waraka hauna mwisho-usije kuja tena hapa na waraka wa 2,au wa 3 n.k
haya mambo si ya kutoa judgement haraka haraka
 

we bila shaka utakuwa mdigo mzigo unawaza ile kauli yenu ya ''mwanangu usiriche......''
 
kweli nimezeeka maana mengine ninayoyasoma humu ni kimavi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…