CHADEMA wabunifu sana hadi raha ili kuhamasisha watu kwenda kujiandikisha wamekuja na oparesheni nyingine inaitwa operasheni shahada mkononi yaani badala ya kuonesha vidole viwili juu watu wanaonesha vitambulisho Vya kupigia kura juu,nikisema CHADEMAAAAA, wote tuitikie SHAHADA MKONONI,