Kiboko ya Mazwazwa
JF-Expert Member
- Feb 22, 2026
- 1,089
- 2,122
CCM ilishakufa 29.10.2025Nawapa into ccm na machawa wao kuwa ikifika 2030 bila katiba mpya muwe na machagua mawili la kwanza kukimbia nchi na la pili uchaguzi usifanyike, tofauti na hapo mjiandae kuondolewa Kwa nguvu mtake msitake(mods naomba huu Uzi muutunze halafu mtaurejesha tarehe 5/11/3030).
Wanaounga mkono wauaji sio?Zwazwa kama zazwa
Mzee Masatu Wassira akikusoma atalia sana.CCM ilishakufa 29.10.2025
29 Oct wananchi walisimama maandamano baada ya huduma muhimu kutopatikana.Mmeanza ujinga wenu wa kuwajaza kiburi watoto wa watu halafu wakila misumari nyie mnabakia tu kupost picha mitandaoni..
Ili ngome inoge na nyie muwepo..
Hv Lord Denning yupo wapi?
Kubali tu we ni zwazwaNawapa onyo ccm na machawa wao kuwa ikifika 2030 bila katiba mpya muwe na machaguo mawili la kwanza kukimbia nchi na la pili uchaguzi usifanyike, tofauti na hapo mjiandae kuondolewa Kwa nguvu mtake msitake(mods naomba huu Uzi muutunze halafu mtaurejesha tarehe 5/11/3030).
Kwakuwa wewe ni mgeni humu JF, basi onyo lako tumelichukua na kuliweka kwenye maonyo mengine meeeeeengi yaliyojaa humu JF!Nawapa onyo ccm na machawa wao kuwa ikifika 2030 bila katiba mpya muwe na machaguo mawili la kwanza kukimbia nchi na la pili uchaguzi usifanyike, tofauti na hapo mjiandae kuondolewa Kwa nguvu mtake msitake(mods naomba huu Uzi muutunze halafu mtaurejesha tarehe 5/11/3030).
Wacha weee!29 Oct wananchi walisimama maandamano baada ya huduma muhimu kutopatikana.
Polisi walikuwa wameshafeli kutuliza ile ghasia, na nikuambie tu ingeendelea askari wangetupa bunduki na kutokomea.
Wananchi wanahofia hali ya uchumi tu.. sio kwamba wanaogopa polisi..
Polisi hawana uwezo wa kuzuia nguvu ya wananchi...