Only in Tanzania LOL!....

Kelly,
Kwanza pole kwa maswahibu. Hii ndo Bongo karibu sana.
Reading all these post nimegundua watu wengi hamkai hapa TZ you do not know it guys. Things here are NDIVYO SIVYO. System nzima imeharibika BIG TIME so Kelly kuna wanaosema ungekomaa lakini i dont see it kwanza ulikuwa na haraka nk nk. So swala ni kubwa than many of us here tunavyofikiri. Sie tulieko huku tunajua.

Ila kuna kitu mimi sijakielewa kwenye siganture yako pale chini. Can it be translated labda au ndo ushamba wangu.
"I am the baddest Bitch!....... "
 


I think Tatizo lako ww umechukulia hiyo LOL! vingine na mimi nilivyovchukulia wewe unadhani nimefurahia ooh well kama unaendelea kufikiria hivyo ni vyema kabisa maana ww ni dilunga na unafikiria tofauti na wengine "smart guy"...uuh.....kuna wlaionielewa i guess napoteza muda wangu sana kukuelezea najua umeelewa ila tuu unataka tuu kujifanya hujaelewa...keep it up mr....
 

hahahaha shosti where have you been lakini eeh i have been looking for your everywhere.....yaani wee acha tuu miye choka kabisa na system ya Tanzania.....


Nyaralego....i feel you my sister....inauma sana mtu ni haki yako lakini ndiyo lazima uivulie jasho....


yaanu ndugu situation yako ipo so similar kama ya kwangu...ilikuw ahivyo hivyo ila imenidi niifupishe maana ile njoo leo njoo kesho mara unapelekwa huku nilienda mapaka magomeni huko alafu amgomeni wananirudisha tena vizazi na vifo....yaani ilikuwa kasheshe tupu!...


yaani kuna watu haelewi ukisema kitu hongo....hongo imetawala sana Tz aisee...wanakwambia kitu kidogo...mweeh!....naogopa kutumia word "LOL"...nitaambiwa nafurahia kutoa hongo.....sijui ndiyo kila wakati uwe seriou umeweka ndita ndiyo mtu atakusikiliza...kuna wengine hatupo hivyo jamani we are blessed kuwa na smile all the time hata mtu akikufanyia vibaya you smile......

Ooh about my signature....baddest bitch...ni sexy origibal female who can have anything she desires who other women hate on cuz she "got it like that"....she has a nice body,a cute face,with inteligence who knows how to get the money wihtout being a gold digger....."mchakarikaji"....
 
Last edited:

We acha tu!
 

Shapu, kwa hiyo unataka wote tuikubali system iliyooza kwa vile tu imezoeleka na "Sie tulieko huku tunajua."?

Tatizo moja kubwa linalokinza maendeleo ni kwamba watu hawana exposure ya jinsi mambo yanavyotakiwa kuwa katika viwango vya nchi zilizoendelea. Ndio maana na wewe unaona hongo poa kwa aliye na haraka kama Kelly alivyofanya. Unakosea big time. Kwenye nchi zilizoendelea mwenye haraka ni yule aliyefika mbele ya mstari, wengine wote suburini kuuule! Katika nchi zilizoendelea ukienda "vizazi na vifo" ukasema nina haraka nataka kusafiri in two days, nahitaji jina langu lifanywe hivi na vile katika nyaraka hii na ile, na huduma yenyewe kawaida ni ya seven business days, unafikiri watasimamisha shughuli zao waseme "..oh my God, Mr. Shapu is here, or Ms. Kelly, "the baddest biach" is in a hurry here, let's make everybody else wait and do her paperwork! Please! Kajaribu.

Kelly katoa hongo kwa sababu aidha watoa huduma walinuia kumuuzia haki yake, au Kelly mwenyewe alitaka huduma iwe fast tracked tofauti na taratibu. Either way, katoa hongo. "Haraka" sio kisingizio.

Member wa JF anapokuja hapa kuhadithia katoa hongo, na alaaniwe, yeye na wauza haki wake wote.
 
Last edited:
Mkitoka huko nje hua mnaenda ofisi za watu kwa nyodo sana. Hasa nyie wanawake. Huyo dadahua namcheki tu anajitia kukataa hapa lakini "yes,you know etc" nyingi sana. Kuweni simple tu mbona bongo ni ile ile mlioiacha siku zile?
 


Nimejaribu kukufuatiliya na nimeshaona kuwa huna point ila unajaribu kuchukua point za watu wengine na kuzigeuza ili zionekane ni za kwako.....naona inakuuma sana miye kutoa hongo yeah!...yes nimetoa hongo iwe nina haraka au sina haraka....Nimeshakuona ww ni mtu unayependa ku assume vitu tuu!...inaelekea frastuation za maisha zinakufanya u-act kama unavyo act sasa.....slow down kijana acha ku-complicate mambo...umeshaambiwa kuwa vitu kama hivyo vipo huko Tz.....ooh na kwa sababu mtu kauliza swali about my signature ukaona sas andiyo utumie kama silaha yako....hahahaha hujanipata bado....hata kama maisha ni magumu lakini sitakuwa namalizia hasira zangu kwa wengine....smile kaka life is too short...acha kuwa na roho ya kwa nini pale mtu anaposema kitu...na siyo kila wakati ni wakati wa kuwa na hasira tuuu!......

kama una watoto nawaonea huruma sana hao watoto wako aisee wewe ni mzee wa kizamani sana unaelekea si bure mweeh!.....you got long way to go...na kuimagine ni yule kijana ambaye mpaka leo bado anavaa Kaunda suti.....kujiona kuwa yeye ni zaidi na mwingine.....unazeeka vibaya sana.....
 
Nimejaribu kukufuatiliya ...ni yule kijana ambaye mpaka leo bado anavaa Kaunda suti......unazeeka

Umejaribu kunifuatilia? That's funny!

"Acha kunifuatilia mi sitaki bwana mbona mi sikufati fati posti zako bwana aanh! ... uko too negative sitaki bwana...we mkubwa, unavaa kizee bwaana!

Again Kelly, umechemsha kuleta mchongo wa kutoa hongo hapa. Tutakuwa wanafiki tukiwa tunapiga kelele za ufisadi halafu tunapotaka huduma za haraka haraka tunahonga. Wrong is wrong dada, usibishe bure tu.

Na kuhusu Kaunda Suti zangu za kizee ninazovaa, siwezi ku afford fashionable suits dada, laiti ningelikuwa ka wewe, ndo maana nikasema let's trade places, wewe "mtoto wa hohe hahe" unaevaa kileo tubadilishane nafasi wewe ndo uwe "mtoto wa mkubwa" nilivyo mimi, labda ndo utaacha kutoa hongo vizazi na vifo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…