Only genius can answer this

Only genius can answer this

The Husband

Mume ndiye kamuua mke hiyo hatua aliyochukua baada ya fumanizi ni zaidi ya kupigwa au hata kufukuzwa ndani ya nyumba aisee!

Hiko ni kipigo cha hisia ukikutana na anayejua kutandika kihisia akakuweka kwenye kona ni lazima akuue.

Dah!.
She should decide to go away...
 
Mkuu umesoma logic form 5 kwenye pure mathematics??

Au logic kwenye adition mathematics O'level??


F and F = F
Kuna conjuction "and"

Umeme kwenye switch mbili zilizozimwa hauwezi kuwaka.
Unapita kwenye swichi ya kwanza iliyozimwa " na (and)" ya pili iliyozimwa hauwezi kuwaka.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
3 is the answer ....judge ana fuata sheria na hapo sheria haikufuatwa
 
The husband for letting the criminal go. The Bf was accused no. 1. This is the same thing as you see someone stealing and you remain silent or you let the thief go. Just my thoughts. .
 
The judge.
because the security camera is cheaper now.
why they don't buy one and fix it in the room?
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Hizi mada za mbunye ni tamu sana tatizo mnazileta mida ya kazi wakati boksi limechanganya
 
Dah .....jeniaz na multiple choice wapi na wapi..
 
Back
Top Bottom