rechungura1
JF-Expert Member
- Jan 19, 2015
- 376
- 125
Kwa anayehitaji web based system tajwa hapo juu ninayonauza. System imetengenezwa kwa technolojia ya php and mysql.
Inatumia simple mechanism, yaani mteja anaingia kwenye system, anajirejista then anaagiza chakula, baada ya muda kidogo mteja chakula kinamfata alipo.
Mmiliki wa mgahawa ataingia kwenye sytem, ataona order ya mteja then ataconfirm na kumpelekea mteja order yake
vilevile mmiliki wa mgahawa anaweza ingiza vyakula vyote alivyonavyo ili mteja aweza kuchagua, pamoja na kuweka promotions/discounts.
Inafaa kwa migahawa ya aina zote yaani online pizzeries, bulgur ordring, chips ordering, bakery ordering, drinks ordering, milk ordring etc.
Support Tanzanian programmers, buy the softwares made in Tanzania!
- See Screenshots...
View attachment 269236View attachment 269237View attachment 269238
Inatumia simple mechanism, yaani mteja anaingia kwenye system, anajirejista then anaagiza chakula, baada ya muda kidogo mteja chakula kinamfata alipo.
Mmiliki wa mgahawa ataingia kwenye sytem, ataona order ya mteja then ataconfirm na kumpelekea mteja order yake
vilevile mmiliki wa mgahawa anaweza ingiza vyakula vyote alivyonavyo ili mteja aweza kuchagua, pamoja na kuweka promotions/discounts.
Inafaa kwa migahawa ya aina zote yaani online pizzeries, bulgur ordring, chips ordering, bakery ordering, drinks ordering, milk ordring etc.
Support Tanzanian programmers, buy the softwares made in Tanzania!
- See Screenshots...
View attachment 269236View attachment 269237View attachment 269238