Frank Hood
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 598
- 1,383
Ni benki gani nzuri kwa malipo ya online,especially kwenye makato na usalama maana kuna bidhaa nataka nilipie.
Kwa upande wangu, kuhusu bank sijajua....ila kuna option ya kutumia mtandao wa Airtel, unajiunga na Airtel Mastercard then unafanya malipo ya online.Ni bank gani nzuri kwa malipo ya online,especially kwenye makato na usalama maana kuna bidhaa nataka nilipie.
Kama unanunia vitu vya dollar 50, 100, 300, 1000 tumia mpesa, tigo au airyel mastercard/visaNi bank gani nzuri kwa malipo ya online,especially kwenye makato na usalama maana kuna bidhaa nataka nilipie.
Shukurani ila makato yake yankuwaje?Kwa upande wangu, kuhusu bank sijajua....ila kuna option ya kutumia mtandao wa Airtel, unajiunga na Airtel Mastercard then unafanya malipo ya online.
Shukurani,makato yake je yanakuwa vpKama unanunia vitu vya dollar 50, 100, 300, 1000 tumia mpesa, tigo au airyel mastercard/visa
Makato siwezi kwambie exactly ila yako chini tu mkuuShukurani,makato yake je yanakuwa vp
Kujiunga ni 2,000 tu..Shukurani ila makato yake yankuwaje?
Barclays bank Visa Card, ila uwe unaweka kile kiasi cha pesa unachohitaji kulipia tu, usiweke savings humo, huwa wanatania ya kukata zaidi kwa bahati mbayaNi benki gani nzuri kwa malipo ya online,especially kwenye makato na usalama maana kuna bidhaa nataka nilipie.