E Edylux Member Mar 30, 2009 48 9 Apr 21, 2010 #1 Salaams Wanasheria, Tafadhali, Nisaidieni majina ya vyuo vikuu vya nje vinavyotoa degree za Sheria zinatambulika hapa TZ. Umri wangu (49 yrs) kuketi na darasani ni noma. Ahsanteni sana, Edylux
Salaams Wanasheria, Tafadhali, Nisaidieni majina ya vyuo vikuu vya nje vinavyotoa degree za Sheria zinatambulika hapa TZ. Umri wangu (49 yrs) kuketi na darasani ni noma. Ahsanteni sana, Edylux
consigliori JF-Expert Member Mar 29, 2010 392 89 Apr 21, 2010 #2 Edylux said: Salaams Wanasheria, Tafadhali, Nisaidieni majina ya vyuo vikuu vya nje vinavyotoa degree za Sheria zinatambulika hapa TZ. Umri wangu (49 yrs) kuketi na darasani ni noma. Ahsanteni sana, Edylux Click to expand... Usiona noma mkubwa, hilo ni jambo la kujivunia elimu haina mwisho.
Edylux said: Salaams Wanasheria, Tafadhali, Nisaidieni majina ya vyuo vikuu vya nje vinavyotoa degree za Sheria zinatambulika hapa TZ. Umri wangu (49 yrs) kuketi na darasani ni noma. Ahsanteni sana, Edylux Click to expand... Usiona noma mkubwa, hilo ni jambo la kujivunia elimu haina mwisho.