Tanzania ipo moja ndo ninayoitumia inatwa ajiras (
www.ajiras.com)
Una register bure, unaweza kuwa seller au buyer. Seller anaweza uza na kununua huduma/kazi mtandaoni, buyer anaweza nunua tu.
Baadhi ya features nilizozipenda
1. Kujiunga ni burw
2. Ina usalama maana baada ya kujiunga unatumia email ya kuhakiki account yako na utahakiki namba yako ya simu pia.
3. Unaweza post kazi yoyote unayoweza fanya
4. Unaweza charge mtu kwa fixed amount, hourly, daily, weekly au monthly.
5. Unaweza weka bei kwa mfumo wa packages.
6. Ina inbuilt messaging ambayo mteja anaweza wasiliana na wewe.
7. Kama kuna huduma unahitaji, unaweza post Request ambapo sellers wata bid na wewe utachagua wa kumpa kazi.
8. Hela yako unachagua pa kuwekwa kuna tigopesa, airtelmoney, Mpesa, Bank Account na Paypay.
9. Unaruhusiwa kupost kazi nyingi hakuna kikomo.
10. Wana program ya referral (ndo naitumoaga sana). Ukiitangaza, mtu akajiunga kwa kutumia link yako unapata sh 70 akinunua au kuuza chochote unapata commission pia.
11. Pia wana forum na support yao ni haraka.
Ina mambo mengi kinoma. Facebook page yao na instagram inaitwa ajirasdotcom
View attachment 980309View attachment 980310View attachment 980311View attachment 980312View attachment 980313
Sent using
Jamii Forums mobile app