JesusMyMaker
Member
- Jun 2, 2019
- 60
- 41
Habari,
Jamani kuna mtu IG anajiita #vifurushi_mitandao yote(Kama sjakosea)
Asee huyu mtu nlim DM akanishawish kwa screenshot nkapenda huduma hiyo nkamtumia elfu 10
Yani unambia baada ya kutuma tu ile account naona haina tena post hata moja na zile message zake alzo ntumia namba ya kutumia Ela kesha zifuta
Aseee wazee don't try
Jamani kuna mtu IG anajiita #vifurushi_mitandao yote(Kama sjakosea)
Asee huyu mtu nlim DM akanishawish kwa screenshot nkapenda huduma hiyo nkamtumia elfu 10
Yani unambia baada ya kutuma tu ile account naona haina tena post hata moja na zile message zake alzo ntumia namba ya kutumia Ela kesha zifuta
Aseee wazee don't try

jaribu kunipa moyo
