Online businesses [emoji3525]

Online businesses [emoji3525]

JesusMyMaker

Member
Joined
Jun 2, 2019
Posts
60
Reaction score
41
Habari,
Jamani kuna mtu IG anajiita #vifurushi_mitandao yote(Kama sjakosea)
Asee huyu mtu nlim DM akanishawish kwa screenshot nkapenda huduma hiyo nkamtumia elfu 10
Yani unambia baada ya kutuma tu ile account naona haina tena post hata moja na zile message zake alzo ntumia namba ya kutumia Ela kesha zifuta

Aseee wazee don't try
 
Habari,
Jamani kuna mtu IG anajiita #vifurushi_mitandao yote(Kama sjakosea)
Asee huyu mtu nlim DM akanishawish kwa screenshot nkapenda huduma hiyo nkamtumia elfu 10
Yani unambia baada ya kutuma tu ile account naona haina tena post hata moja na zile message zake alzo ntumia namba ya kutumia Ela kesha zifuta

Aseee wazee don't try

Unapenda kitongaa
 
Habari,
Jamani kuna mtu IG anajiita #vifurushi_mitandao yote(Kama sjakosea)
Asee huyu mtu nlim DM akanishawish kwa screenshot nkapenda huduma hiyo nkamtumia elfu 10
Yani unambia baada ya kutuma tu ile account naona haina tena post hata moja na zile message zake alzo ntumia namba ya kutumia Ela kesha zifuta

Aseee wazee don't try
Unamfamu?
 
Namfaham wap mkuu nmeona tu matangazo yake IG
Screenshot_20200829-172713.jpg
 
Habari,
Jamani kuna mtu IG anajiita #vifurushi_mitandao yote(Kama sjakosea)
Asee huyu mtu nlim DM akanishawish kwa screenshot nkapenda huduma hiyo nkamtumia elfu 10
Yani unambia baada ya kutuma tu ile account naona haina tena post hata moja na zile message zake alzo ntumia namba ya kutumia Ela kesha zifuta

Aseee wazee don't try
Mjini ni shule tosha
 
Habari,
Jamani kuna mtu IG anajiita #vifurushi_mitandao yote(Kama sjakosea)
Asee huyu mtu nlim DM akanishawish kwa screenshot nkapenda huduma hiyo nkamtumia elfu 10
Yani unambia baada ya kutuma tu ile account naona haina tena post hata moja na zile message zake alzo ntumia namba ya kutumia Ela kesha zifuta

Aseee wazee don't try
Pole tujitahidi kuwa waangalifu watu sisi njaa tupu neema ikijileta tunapita nayo hatuitaji kuwa tumeacha maumivu kiasi gani?
 
Back
Top Bottom