True colour
New Member
- Jul 28, 2019
- 3
- 0
Wana jamii forum kama kuna mtu kajaribu kufanya application leo kwa vyuo vya udsm, Mzumbe na udom anipe details, maana nimejatibu had nikalipia but kipengele cha index number kinagoma kuleta matokeo
Una uhakika namba unaianfika vizuri ikiwa na mwaka wa kumaliza mwishoni?Wana jamii forum kama kuna mtu kajaribu kufanya application leo kwa vyuo vya udsm, Mzumbe na udom anipe details, maana nimejatibu had nikalipia but kipengele cha index number kinagoma kuleta matokeo
Yeah niliweka vizur but now imekubalUna uhakika namba unaianfika vizuri ikiwa na mwaka wa kumaliza mwishoni?
Yeah niliweka vizur but now imekubal nimeshamaliza, asante sanaUna uhakika namba unaianfika vizuri ikiwa na mwaka wa kumaliza mwishoni?
Asante sana nimeshamalizaTatizo Leo lilikua necta walikuwa wanashindwa kuingia kule kupata taarifa zako jaribu now Iko vizuri
Futa uzi sasa 😬😬😬😬Asante sana nimeshamaliza