cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,669
- 5,034
anajifanya mchungaji ...."mtolee Mungu kilichonona atakubariki"Kubwa kuliko kuna mmoja yuko maeneo ya Ferry yeye anaomba kibabe na mfano ukitoa hela mfukoni kukawa na 500 na 200 ukimpa 200 anakataa anataka kubwa, ila jana kala kipondo kutoka kwa ma askari wa pale ferry nahisi hatarudi tena pale
Sent using Jamii Forums mobile app
mbona haya mambo hayakuwapo enzi za mh kikweteKuna maza mmoja yupo k/koo stand ya Magari ya mbagala yomboo... Anaomba nauli anasubiria watu wanaoshuka kwenye mwendokasi alishawahi kuniomba nauli siku tatu mfululizo hyo siku ya tatu mpaka akajistukia mwenyew ...
Na kuna Dada mmoja anapanda daladala za kupitia barabra ya mandela na karatsi LA kuonyesha Mtoto wake anaumwa cancer basi anazikusanyaa pesa kbao vikipita vtuo vtatu anashuka anapanda jingne.. Sasa MTU kama huyu kwa siku anamake sh ngapi
Sent using Jamii Forums mobile app
kazi kwelikweliYule teja akipata hela anaenda kuvuta madawa na kama ukitaka kumnunulia chakula hataki anataka hela tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu inatukosesha amani sana mtu umejitafutia sehemu tulivu kabisa ujilie jasho lako utastaajabu hawa hapa na hawang’oki mpaka kielewekeke