Ongezeko la omba omba feki mijini si la kupuuza

Kuna maza mmoja yupo k/koo stand ya Magari ya mbagala yomboo... Anaomba nauli anasubiria watu wanaoshuka kwenye mwendokasi alishawahi kuniomba nauli siku tatu mfululizo hyo siku ya tatu mpaka akajistukia mwenyew ...
Na kuna Dada mmoja anapanda daladala za kupitia barabra ya mandela na karatsi LA kuonyesha Mtoto wake anaumwa cancer basi anazikusanyaa pesa kbao vikipita vtuo vtatu anashuka anapanda jingne.. Sasa MTU kama huyu kwa siku anamake sh ngapi

Sent using Jamii Forums mobile app
mbona haya mambo hayakuwapo enzi za mh kikwete

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom