Nikudanganye ili nifaidike nini?Nimefatilia, Tarifa hizo si za kweli.
Mishahara inatofautiana kwasababu ya unachozalisha na risk aliyonayo mtumishi. Haiwezekani mishahara ikafananaChamsingi sana ni serikali kuongeza kima cha chini cha mishahara na pia kuweka leveling katika ulipaji wa mishahara
Sio unakuta kwamba katika taasisi mbili tofauti watumishi wenye sifa sawa lakn wanatofaut kubwa katika mishahara yao
Kwa kumalizia hali ni ngum saana kwa watumishi wa kada ya chini na ukizingatia tunamikopo yaan 90% tunapokea kuanzia 140000 mpaka 250000 kwa mwez hata sijui tunawezaje kuishi kwa kwel inauma sana..
Jwtz pekee wamekuwa wakipata katika kipindi chote.Hata muda huu naandika hapa Jwtz wameshakula mshahara wao tangu jana.Jwtz ni kazi tamu sanaNimefatilia, Tarifa hizo si za kweli.
.Subira anaelekea kuvuta bangiPoleni sana...
Subira yavuta kheri...
Kazi tamu Ni TRA,BoT,Nssf, Psssf, Ewura,latra, Tanapa huko kwingine hamna dili.Jwtz pekee wamekuwa wakipata katika kipindi chote.Hata muda huu naandika hapa Jwtz wameshakula mshahara wao tangu jana.Jwtz ni kazi tamu sana.
Kwanini?Kazi tamu Ni TRA,BoT,Nssf, Psssf, Ewura,latra, Tanapa huko kwingine hamna dili.
Kivipi?Jwtz pekee wamekuwa wakipata katika kipindi chote.Hata muda huu naandika hapa Jwtz wameshakula mshahara wao tangu jana.Jwtz ni kazi tamu sana.
Duh sio posHabari zenu wakuu,
Poleni na Hongereni kwa kutumikia Taifa kupitia nyanja tofauti tofauti kuanzia wakulima, wafugaji, mafundi, wafanyabiashara na watumishi wa umma.
Baada ya salam naomba niende kwenye lengo la kuandika maneno yote haya.
Kuanzia mwaka 2015 mpaka sasa 2022 hakuna zile Annual increments Kwa watumishi wa serikali,
Ongezeko hilo lipo kwa mujibu wa sheria na serikali haikuweza kutekeleza hilo Kwa miaka 7 sasa licha ya kuwa ni utaratibu uliopo kikanuni.
Ni asilimia ngapi ya kiwango cha mshahara ambacho kikiongezwa kinakuwa kimefidia miaka yote ambayo annual increment haikuweza kuongezwa kwa watumishi?
Asanteni sana na karibuni.
Mikopo mliifanyia nini? Kuna hotuba ya Nyerere anasema mnadai mnadai muongezewe mishahara hv mnakumbuka unaemtumikia anashinda njaa na wengine ndo wamevunjiwa ofisi zao , sijui mmelifanyia nn taifa kudai muongezewe mishahara ? umeme full kukatika ( TANESCO ) ,Rushwa, wizi , ukabaji , ujambazi + panya road umerud kwa kasi mnoChamsingi sana ni serikali kuongeza kima cha chini cha mishahara na pia kuweka leveling katika ulipaji wa mishahara
Sio unakuta kwamba katika taasisi mbili tofauti watumishi wenye sifa sawa lakn wanatofaut kubwa katika mishahara yao
Kwa kumalizia hali ni ngum saana kwa watumishi wa kada ya chini na ukizingatia tunamikopo yaan 90% tunapokea kuanzia 140000 mpaka 250000 kwa mwez hata sijui tunawezaje kuishi kwa kwel inauma sana..
Huko ndio Kuna Pesa na magumashi ya kutosha.Kwanini?
ZamaniHuko ndio Kuna Pesa na magumashi ya kutosha.
Magumashi yapo ww tu uko halmashauri huoni wenzio wanavyokula Bata, kingine Serikalini Kuna Taasisi zenye maslahi kushinda hizo nilizozitaja?Zamani
mmeshaimaliza sasa mnalipwa hela kidogo mnaanza kulia liaHabari zenu wakuu,
Poleni na Hongereni kwa kutumikia Taifa kupitia nyanja tofauti tofauti kuanzia wakulima, wafugaji, mafundi, wafanyabiashara na watumishi wa umma.
Baada ya salam naomba niende kwenye lengo la kuandika maneno yote haya.
Kuanzia mwaka 2015 mpaka sasa 2022 hakuna zile Annual increments Kwa watumishi wa serikali,
Ongezeko hilo lipo kwa mujibu wa sheria na serikali haikuweza kutekeleza hilo Kwa miaka 7 sasa licha ya kuwa ni utaratibu uliopo kikanuni.
Ni asilimia ngapi ya kiwango cha mshahara ambacho kikiongezwa kinakuwa kimefidia miaka yote ambayo annual increment haikuweza kuongezwa kwa watumishi?
Asanteni sana na karibuni.

Nipo humo lakini sijaonaMagumashi yapo ww tu uko halmashauri huoni wenzio wanavyokula Bata, kingine Serikalini Kuna Taasisi zenye maslahi kushinda hizo nilizozitaja?